sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mfanyabiashara Yusuf Manji ambaye alikuwa kizuizini chini ya Idara ya Uhamiaji, kuachiwa huru chini ya dhamana aliyopewa kwenye kesi namba 63 ya kutumia dawa za kulevya iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Manji aliondoka mahakamani hapo na kuingia katika hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam akiwa na mlinzi wake.
Manji aliondoka mahakamani hapo na kuingia katika hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam akiwa na mlinzi wake.