Mahakama yamweka huru Manji kesi ya Uhamiaji

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,527
865
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mfanyabiashara Yusuf Manji ambaye alikuwa kizuizini chini ya Idara ya Uhamiaji, kuachiwa huru chini ya dhamana aliyopewa kwenye kesi namba 63 ya kutumia dawa za kulevya iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Manji aliondoka mahakamani hapo na kuingia katika hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam akiwa na mlinzi wake.
 
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mfanyabiashara Yusuf Manji ambaye alikuwa kizuizini chini ya Idara ya Uhamiaji, kuachiwa huru chini ya dhamana aliyopewa kwenye kesi namba 63 ya kutumia dawa za kulevya iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Manji aliondoka mahakamani hapo na kuingia katika hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam akiwa na mlinzi wake.
baada ya kukomaa,
angeozea agha khan.. bashite na kaka yake wanaendesha nji kama nyumba yao wakiamua kukuweka ndani ama kuibukia na mitutu ya bunduki popote wanakuibukia kukulazimisha ufanye hili ama lile kama muvi ya komando kipency

cc shilawadu
 
Bado miaka mitatu tufike 2020, Sioni viwanda ila Hela zote za Bajeti zimeelekezwa kupambana na LISSU & LEMA.
 
Back
Top Bottom