Anaishi kama shetani kwenye nchi gani mkuu?manji alishasepa kitambo sana majengo aliyoacha yote alichukulia mikopo, tena mikubwa kuliko asset alizonazo.Manji hana hata mia sasa hivi. Hizo hela sijui watalipwa na nani.
Anaishi kama shetani kwa mujibu wa kauli ya baba Jeska.
we kweli akili hunaHana uwezo wa kukimbia Tanzania, atakufa njaa
Kipindi cha JK kwenye issue ya coco Beach...Unachanganya habari. Manji aliongea lini hiyo kauli?
Nimekusoma mkuu...Yupo nchini Canada kwa Dada yake. Na kuhusu Kuondoka Kwake waulize Wauza 'Mabaibui', Wakazi wa Tanga mpakani na nchi ya Kenya. Kwaheri!
Alikuwa anamiliki gazeti la Jambo leo...
Aisee hivi yuko wapi? Unawasiliana nae? Kama ndio mwambie arudi chap tuchkue hata hii ligi kwanza tupumue, tumechoka sanaManji keshasepa, labda wakamate assets zake zipo.
KeleleJiwe bhana ngoja awe mstaafu tu tuone kelele zake