Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,759
- 8,507
Unachanganya habari. Manji aliongea lini hiyo kauli?Alishawahi kumwambia magu "siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa" kipindi ni waziri
Unachanganya habari. Manji aliongea lini hiyo kauli?Alishawahi kumwambia magu "siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa" kipindi ni waziri
Aliondoka siku mingi sanaHuyu jamaa sidhani kama bado yupo Tanzania
Ataongea keshoUnachanganya habari. Manji aliongea lini hiyo kauli?
Miaka miwili nyuma ( kama sijakosea ) hakutakiwa kutoka nchini ila nilivyoambiwa 'alivyotoroka' na 'Mbinu' aliyoitumia niseme tu Shikamoo Kwake.Huyu jamaa sidhani kama bado yupo Tanzania
Hili Swali la Manji yupo Tanzania najua Watu wa UHAMIAJI 'linawauma' ile mbaya tu pia kwani 'aliwatoroka' Kimedani kabisa kwenda zake Canada.Manji keshasepa, labda wakamate assets zake zipo.
Hii awamu imekuwa ngumu mno kwake, hataisahau...Hivi Manji yupo Tanzania.?
To exit Tanzania mbona ni rahisi sana, tena kwa tajiri ni rahisi zaidi.Hili Swali la Manji yupo Tanzania najua Watu wa UHAMIAJI 'linawauma' ile mbaya tu pia kwani 'aliwatoroka' Kimedani kabisa kwenda zake Canada.
Tumegeee kidogo mbinu alizotumia kutoroka. Na kwa comment yako hii ina maana unathibitisha hayupo nchini.Miaka miwili nyuma ( kama sijakosea ) hakutakiwa kutoka nchini ila nilivyoambiwa 'alivyotoroka' na 'Mbinu' aliyoitumia niseme tu Shikamoo Kwake.
Mkuu nikikuhadithia hapa jinsi Manji 'alivyowaacha' katika Mataa ( Solemba ) Watu wa UHAMIAJI utakubaliana nami kuwa kuna 'tatizo' pia mahala.To exit Tanzania mbona ni rahisi sana, tena kwa tajiri ni rahisi zaidi.
Mtu ambaye angepata shida ya kutoroka ilibidi awe ni Oscar Kambona lakini alisindikizwa na gari kutoka Dar mpaka Namanga na kuelekea zake Nairobi to London Uk.
Aliyemtorosha Kambona amenihadithia hili kabla hajafa kwa sasa mzee ni marehemu R.I.P
Yupo nchini Canada kwa Dada yake. Na kuhusu Kuondoka Kwake waulize Wauza 'Mabaibui', Wakazi wa Tanga mpakani na nchi ya Kenya. Kwaheri!Tumegeee kidogo mbinu alizotumia kutoroka. Na kwa comment yako hii ina maana unathibitisha hayupo nchini.
Hizo mbinu tupe dondoo kidogo, inabidi tumuombe PK zile 'honey traps' tutamnasa tu.Miaka miwili nyuma ( kama sijakosea ) hakutakiwa kutoka nchini ila nilivyoambiwa 'alivyotoroka' na 'Mbinu' aliyoitumia niseme tu Shikamoo Kwake.
Sizitoi ng'o Mkuu hata uniahidi 'Mbunye' yako kama Wewe ni Mwanamke. Shikamoo sana Kwake 'Manji' kwa 'Kuwaacha' Watu 'Kimedani' mno tu.Hizo mbinu tupe dondoo kidogo, inabidi tumuombe PK zile 'honey traps' tutamnasa tu.
Everyday is Saturday...............................
Sina mbunye, itabidi tukutafutie na zile 'honey traps'.ISizitoi ng'o Mkuu hata uniahidi 'Mbunye' yako kama Wewe ni Mwanamke. Shikamoo sana Kwake 'Manji' kwa 'Kuwaacha' Watu 'Kimedani' mno tu.
We bia yetu unafanya kazi gani kwaniAlipe tu, maisha ya ujanja ujanja hayana nafasi
Mkuu si hela hiyo tu,manji ana zaidi ya hiyo labda Kama walimfilisi Sana..Manji ana biliona 30 akitoa hiyo kama vila katoa sh kumi tu
Mbona wanasema alishakimbia kitambo.Yupo
Nadhani baada ya kuanza kuzongwa na serikali ya awamu ya tano.Ni kweli manji aliwaachisha kazi wafanyakazi wake 2017 bila sababu ya msingi?????