Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itakuwa na jukumu la kupitia upya maazimio ya Bunge kuhusu kashifa ya Escrow na kisha kuyatekeleza?
Maswali mengine:
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itachunguza na kuchukua hatua kuhusu tuhuma za ununuzi wa kivuko kibovu?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itaibua upya sakata la Richmond baada ya Bunge kuagiza kufungwa kwa mjadala huo?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itaanzisha uchunguzi, kukamata walioua mashirika ya umma na kisha kuwafungulia mashitaka?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itachunguza sakata la mgodi wa Kiwira?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itazuia mafisadi kupewa adhabu za kifungo cha nje?
Hivi Mahakama ya Mafisadi itakuwa ni kwa ajili ya ma-CEO tu wa mashirika na Taasisi za umma na si wanasiasa mafisadi?
Yataka uvumivu na kuwa na moyo wa chuma kufuatilia siasa za nchii hii.
Maswali mengine:
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itachunguza na kuchukua hatua kuhusu tuhuma za ununuzi wa kivuko kibovu?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itaibua upya sakata la Richmond baada ya Bunge kuagiza kufungwa kwa mjadala huo?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itaanzisha uchunguzi, kukamata walioua mashirika ya umma na kisha kuwafungulia mashitaka?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itachunguza sakata la mgodi wa Kiwira?
Hivi Mahakama ya Mafisadi ndio itazuia mafisadi kupewa adhabu za kifungo cha nje?
Hivi Mahakama ya Mafisadi itakuwa ni kwa ajili ya ma-CEO tu wa mashirika na Taasisi za umma na si wanasiasa mafisadi?
Yataka uvumivu na kuwa na moyo wa chuma kufuatilia siasa za nchii hii.