Mahakama ya KANGAROO ndio ipi?

Mahakama ya KANGAROO ndio ipi?

Taratibu mkuu, huna unachokijua hapo hajatumia jina baya lolote hiyo ni moja ya neno la kisheria kama nyie HKL mnavyoleta misemo yenu ya kizaramo...tulieni mfundishwe sheria


Alutaaaaa kontinyuuuua
Hiyo ni nature...kamwe huwezi kuipenda mahakama unaposhindwa kesi
 
Wenzetu mtujuze na ilifanyaje?
Kangaroo courts ni mahakama ziilizowekwa mfukoni na wahuni wachache. Mara nyingi maamuzi yake ni yale yasiyofuata haki, yamepangwa tayari hata kabla ya hukumu ya mwisho kutolewa, yamejaa maigizo na utatanishi.
 
Twende taratibu, unajua maana ya kushindwa kesi kwanza?? Au najibu zero brain hapa ambae hajui lolote unaandika mambo kwa kufata upepo
Aliyetoa msemo huu alishindwa kesi...wewe ni mtanzania maana inaonekana kiswahili hukijui
 
Mahakama zinazofanya kesi za maonyesho/maigizo tu.
 
Aliyetoa msemo huu alishindwa kesi...wewe ni mtanzania maana inaonekana kiswahili hukijui
Njoo taratibu mkuu, Mimi na ww nani hajui kiswahili??? Kwanza unapotumia neno "alishindwa kesi" unataka kumaanisha nini?? Au unataka nikuulize baada ya kushindwa kesi alihukumiwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom