Mahakama ya Kadhi: Tanzania inaanza kuvuna matunda ya kuikataa historia ya kweli

Nakiri kuwa mjinga, ila mjinga zaidi ni shabhibhii nafwa!, nimekuambia Sunni wanaendesha mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, Ismailiya Wanaendesha Mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, sisi tunaendesha mahaka zetu za kidini bila kelele zozote, nyinyi haya makele yote ya nini?!. Jee unalijua lengo la kuuleta huu muswada?!, kwa taarifa yako usidhani kuwa serikali imeuleta kwa sababu sasa ina nia, no!, imeuleta kwa sababu ya mikelele tuu, mmeletewa ili mtuondolee mikelele tuu!.

Pasco

Asanteeee, lengo nikuondo mikelele, duh! lol!
 
Ningependa kufahamu:

Hizo mahakama za kadhi za miaka hiyo kabla ya uhuru zilikuwa zikigharamikiwa na nani?

Je zilianzishwa na serikali ipi?

Umeandika waislamu hawakushirikishwa kwenye MoU ya 1993,kwani ulikuwa mkataba kati ya wakristo,serikali na waislamu mpaka mshirikishwe?

Halafu nyie jamaa wanafiki sana kwa hiyo na nyie mmewashirikisha wakristo juu ya mahakama ya kadhi? Sasa mbona mnawaambia hayawahusu?

Halafu hiyo MoU ilipitishwa wakati wa Rais Mwinyi!!!! Very interesting.

Yaani waislamu kwa kulalamika tu hamjambo.
 
Huduma za Afya na Elimu zinazotolewa kwa ushirikiano wa kanisa na serikali, zinawabaguaje wasio waumini wa kikrito?

Hizi huduma zina chembe gani ya dini ya Kikristo, kwamba ni ibada au suna, kwamba zinahudumia Wakristo tu, kwamba muislam akiumwa akaenda kutibwa kwenye hizo hospital haponi au hahudumiwi? Kwamb elimu inayotolewa ni maalumu kwa wakristo tu haina uwiano na elimu ya nchi? Au Wasio Wakristo wakienda kwenye zile shule hawaruhusiwi kusoma?

Please be practical. Hii inazidi kuonyesha ni namna gani hii dhana ya udini ilivyo na confusion hata kwenu mnaosimamia kwenye udini.

Mli

Mohamed Said

hizo hizo hospital na shule hazijiendeshi kwa faida? je, hiyo faida inamnufaisha mtanzania au taasisi ya kikristo? hiyo faida haizalishwi na kodi zetu kwa asilimia fulani? je hizo kdi zinalipwa na wakristo tu?
 
Bwana Mohamed Said, laiti ungeandika kitabu kuhusu historia ya Tanganyika pamoja na masuala mengine ya kihistoria katika nyanja zote za maisha ingefaa sana.
Sisi ni binadami, leo au kesho tunakufa, sasa haya uyajuayo hebu tuwekee katika vitabu yatatusaidia sisi na vizazi vijavyo kufanya rejea.

Pia katika huu uzi wako ninaposoma, naona kuna umuhimu wa kuandika katika mfumo wa rejea kama mabandiko ya wikipedia yanavyooandikwa, kwakua unalenga kuelezea jambo fulani basi kila utakapogusia jina, mji, au kitu chochote ambacho kitahitaji maelezo ya kina basi fanya "citation" ili tutembelee huko papo kwa papo na sio kusubiri tena uweke uzi.
Nawasilisha!
 
Serikali iko kwaajili ya kutimiza malengo ya Jamii yake! Waislam wa Tanzania ni sehemu ya Jamii ya Kitanzania walipa kodi! Ukisema kuwa Serikali isigharamie Walipa kodi kwakuwa tu ni Waislam itakuwa ni kosa kubwa yenye chuki dhahir na dhulma dhidi ya Jamii ya Kiislam ambayo imekuwa ikishuhudia wakidhulumiwa kwa miongo mingi ingawa wao ndo waliochangia upatikanaji wa Uhuru wa Taifa letu kwa Kiasi kikubwa! Jambo la Msingi sana la kujiuliza ni Je? Misaada ya Serikali kwa Kanisa via MOU haitokani na kodi za Waislam? Inakuwaje Mashirika ya kikanisa yanaruhusiwa kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na wafadhili wao na wakati mwingine wana operate via NGOs huku waislam wakikatazwa kujiunga na Jamii ya Kimataifa yenye kutoa misaada kwao? Sheria ya Tanzania kwa kiasi kikubwa imetokana na Common Law iliyorithiwa kutoka Canon Law!!! Ndoa ya Mke mmoja ni pure canon Law... Mahakama ya Kadhi itakuwa kwa manufaa ya Waislam na itakuwa inashughulikia Masuala ya Ndoa na Mirathi pekee... Msukumo kutoka kwa Mataifa yenye kutumia kanisa eti wanawake wa Kiislam watadhulumiwa ni UJUHA wa kutokujua sharia za Kiislam ... Naisikitikia sana nchi yangu kwani Utabiri wa Albert Pike unatimilizwa ndani ya ardhi yetu ...
 
Ukisoma vizuri hii habari utaona ina ukweli mwingi katika waislamu kudai mahakama ya kadhi hivyo kama serikali imewahidi basi iwape
 
Ujumbe umeusoma kwa umakini au weye ni kiumbe ambaye uishajiandaa tu kupinga kwa kila kitokacho/kiletwacho na majina ya KIISLAAM /Muislaamu .....!?

Rejea tena kumsoma mleta uzi tartibu uondoshe munkari na kufahamu ukweli itakuwa rakhisi kwako na si kufahamu kimapenzi.

Ahsanta na nipo kipembeni hapa.

Asome kuhusu nini tena kwa ufupi ili kuleta umoja ambao mtoa mada kasema Nyerere aliondosha mambo ya uchifu na udini kwenye shughuli za umma! na ndo maana hata shule za dini zilichukuliwa na serikali ili watu wenye dini na wasio na dini wasome bila ubaguzi! mahakama ya Kadhia ianzishwe kwa taratibu za kidini na sio serikali!
 
Kure kwetu tarime kulikuwa na chifu anaitwa Chogo, ni babaake na Dr Chogo mwenye hospitali pale Mwanza mtaa wa Rufiji kama sikosei, alihukumu wakurya kwa hekima na busara sana hata hakuwai kutumia vitabu vya wakoloni wa kiarabu wala kiingereza bali alitumia mira na desturi zetu za wakurya kutoa hukumu safi.

My point ni kwamba kila jamii inahistoria yake na taratibu zake za kuendesha mashauri mbalimbali na kutoa hukumu stahiki kulingana na mila na desturi zake.

Nchi kama jamii haiwezi kuwa nchi ikiwa kila jamii zina sheria zake na zinajiendesha zinavyotaka. Kwa kulitambua hilo Mwl Nyerere ndo akafuta hizo Court zote za kijadi, kidini, nk nk ili nchi iendeshwe kwa utawala wa sheria iliyo moja ili kujenga wa umoja wa kitaifa.

Mahakama ya kadhi inanafasi katika nchi zenye jamii ya dini moja kama Saudia nk nk but kwa nchi kama yetu haina nafasi coz jamii za watanzania zimetofautiana sana kwa mila na desturi zao. wakurya na wamakonde mila zao ni tofauti mno, wamasai na wazaramo wapi na wapi!!?? ila lugha ambayo wote wanaielewa ni utii kwa sheria za nchi ambazo wote wanapaswa kuziheshimu.

hata kutambuliwa tu kisheria na kuwekwa kwenye katiba ya nchi hizi kadhi courts ni kosa kubwa!! coz jamii kubwa kama wasukuma wana mila zao ambazo wangependa ziingizwe na kutambuliwa kisheria na kikatiba.

Kuitambua mahakama ya kadhi kikatiba ni kuweka ufa katika umoja na mshikamano wa nchi yetu ambao kuja kuuziba huu ufa ni mpaka damu imwagike ndio makosa yaliyofanywa na bunge hili kama yataitambua hiyo mahakama yatadhihiri.
 
Nakiri kuwa mjinga, ila mjinga zaidi ni shabhibhii nafwa!, nimekuambia Sunni wanaendesha mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, Ismailiya Wanaendesha Mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, sisi tunaendesha mahaka zetu za kidini bila kelele zozote, nyinyi haya makele yote ya nini?!. Jee unalijua lengo la kuuleta huu muswada?!, kwa taarifa yako usidhani kuwa serikali imeuleta kwa sababu sasa ina nia, no!, imeuleta kwa sababu ya mikelele tuu, mmeletewa ili mtuondolee mikelele tuu!.

Pasco

Pasco,

Mimi nafikiri hapo imekupuruchuka kidogo.

Chokochoko zote zinazokhusu kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhwi zimeletwa na TAMKO la wakristo kupitia umoja wao wa makanisa.

Wametoa Tamko kulitanabaisha Bunge lisipitishe muswada wa Uanzishwaji wa Mahakama hizo. Waislam wao wametulia tu ndio Jumuiya ya wanazuoni wa Kiislam wakawajibu umoja huo wa wakristo.

Na AG ndio akaweka bayana kuwa wanachohitaji waislam ni KUTAMBULIKA Kisharia kwa maamuzi yanayotolewa na Mahakama za Kadhwi na wala si kutaka fedhwa za Serikali kuhudumia Mahakama hizo kama inavyoenezwa na wakristo.

Hakika kuna mpasuko mkubwa huko Tgk kwani husda na chuki baina ya dini hizi zimetawala.

Mola awaepushe kwayo.

 
Serikali iko kwaajili ya kutimiza malengo ya Jamii yake! Waislam wa Tanzania ni sehemu ya Jamii ya Kitanzania walipa kodi! Ukisema kuwa Serikali isigharamie Walipa kodi kwakuwa tu ni Waislam itakuwa ni kosa kubwa yenye chuki dhahir na dhulma dhidi ya Jamii ya Kiislam ambayo imekuwa ikishuhudia wakidhulumiwa kwa miongo mingi ingawa wao ndo waliochangia upatikanaji wa Uhuru wa Taifa letu kwa Kiasi kikubwa! Jambo la Msingi sana la kujiuliza ni Je? Misaada ya Serikali kwa Kanisa via MOU haitokani na kodi za Waislam? Inakuwaje Mashirika ya kikanisa yanaruhusiwa kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na wafadhili wao na wakati mwingine wana operate via NGOs huku waislam wakikatazwa kujiunga na Jamii ya Kimataifa yenye kutoa misaada kwao? Sheria ya Tanzania kwa kiasi kikubwa imetokana na Common Law iliyorithiwa kutoka Canon Law!!! Ndoa ya Mke mmoja ni pure canon Law... Mahakama ya Kadhi itakuwa kwa manufaa ya Waislam na itakuwa inashughulikia Masuala ya Ndoa na Mirathi pekee... Msukumo kutoka kwa Mataifa yenye kutumia kanisa eti wanawake wa Kiislam watadhulumiwa ni UJUHA wa kutokujua sharia za Kiislam ... Naisikitikia sana nchi yangu kwani Utabiri wa Albert Pike unatimilizwa ndani ya ardhi yetu ...

Hiyo sheria ya Canon law inayotumiwa na Serikali lini ilikataza waislamu wasiwe na wake wengi dume moja????? Au ulitaka nayo iseme mkateni mikono wale wezi na kupiga watu mawe mpaka kufa kama ilivyo torati!?? Jitafakali sana nchi hii ina wenye dini wengi na Waislamu msijione kuwa mko bora kuliko wengine mpate kaupendeleo fulani tu!
 
Naomba tuende taratibu na kwa ustaarabu. Tafadhali rejea andiko langu, ujibu hoja baada ya hoja. Hii itakusaidia hata wewe kujielewa unachokisema na kinachosemwa hapa nikitu gani.


hizo hizo hospital na shule hazijiendeshi kwa faida? je, hiyo faida inamnufaisha mtanzania au taasisi ya kikristo? hiyo faida haizalishwi na kodi zetu kwa asilimia fulani? je hizo kdi zinalipwa na wakristo tu?
 
Pasco,

Mimi nafikiri hapo imekupuruchuka kidogo.

Chokochoko zote zinazokhusu kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhwi zimeletwa na TAMKO la wakristo kupitia umoja wao wa makanisa.

Wametoa Tamko kulitanabaisha Bunge lisipitishe muswada wa Uanzishwaji wa Mahakama hizo. Waislam wao wametulia tu ndio Jumuiya ya wanazuoni wa Kiislam wakawajibu umoja huo wa wakristo.

Na AG ndio akaweka bayana kuwa wanachohitaji waislam ni KUTAMBULIKA Kisharia kwa maamuzi yanayotolewa na Mahakama za Kadhwi na wala si kutaka fedhwa za Serikali kuhudumia Mahakama hizo kama inavyoenezwa na wakristo.

Hakika kuna mpasuko mkubwa huko Tgk kwani husda na chuki baina ya dini hizi zimetawala.

Mola awaepushe kwayo.


Tulikuwa tukiishi vyema kabisa katika nchi hii yenye makabila na dini mbalimbali na shida ni hawa WAROHO wa madaraka CCM! tusipokuwa makini tutaumizana kwa hawa waroho wakubwa!
 
Nakiri kuwa mjinga, ila mjinga zaidi ni shabhibhii nafwa!, nimekuambia Sunni wanaendesha mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, Ismailiya Wanaendesha Mahakama zao za Kadhi bila kelele zozote!, sisi tunaendesha mahaka zetu za kidini bila kelele zozote, nyinyi haya makele yote ya nini?!. Jee unalijua lengo la kuuleta huu muswada?!, kwa taarifa yako usidhani kuwa serikali imeuleta kwa sababu sasa ina nia, no!, imeuleta kwa sababu ya mikelele tuu, mmeletewa ili mtuondolee mikelele tuu!.

Pasco

Watakapo jua kuwa mswaada hauzungumzii kugharamia mahakama hizo wala kuwalipa hao makadhi na makarani wao bali kukubali kutambua tuu maamuzi yao kwa sheria zingine zilizopo ndio watakapo anzisha mtiti mwingine.
Hata kwa akili ya kawaida tuu jee inawezekana serikali ianzishe kada fulani ya utumishi ambayo inaigharamia lakini watu wanatakiwa kuwepo kwenye kada hiyo ni waumini wa dini fulani wengine hawastahili? Kwa mtindo huo baadae itakuja ajira fulani serikalini wenye sifa ni Wamakonde tuu au Wangoni nk nk.
 
Kure kwetu tarime kulikuwa na chifu anaitwa Chogo, ni babaake na Dr Chogo mwenye hospitali pale Mwanza mtaa wa Rufiji kama sikosei, alihukumu wakurya kwa hekima na busara sana hata hakuwai kutumia vitabu vya wakoloni wa kiarabu wala kiingereza bali alitumia mira na desturi zetu za wakurya kutoa hukumu safi.

My point ni kwamba kila jamii inahistoria yake na taratibu zake za kuendesha mashauri mbalimbali na kutoa hukumu stahiki kulingana na mila na desturi zake.

Nchi kama jamii haiwezi kuwa nchi ikiwa kila jamii zina sheria zake na zinajiendesha zinavyotaka. Kwa kulitambua hilo Mwl Nyerere ndo akafuta hizo Court zote za kijadi, kidini, nk nk ili nchi iendeshwe kwa utawala wa sheria iliyo moja ili kujenga wa umoja wa kitaifa.

Mahakama ya kadhi inanafasi katika nchi zenye jamii ya dini moja kama Saudia nk nk but kwa nchi kama yetu haina nafasi coz jamii za watanzania zimetofautiana sana kwa mila na desturi zao. wakurya na wamakonde mila zao ni tofauti mno, wamasai na wazaramo wapi na wapi!!?? ila lugha ambayo wote wanaielewa ni utii kwa sheria za nchi ambazo wote wanapaswa kuziheshimu.

hata kutambuliwa tu kisheria na kuwekwa kwenye katiba ya nchi hizi kadhi courts ni kosa kubwa!! coz jamii kubwa kama wasukuma wana mila zao ambazo wangependa ziingizwe na kutambuliwa kisheria na kikatiba.

Kuitambua mahakama ya kadhi kikatiba ni kuweka ufa katika umoja na mshikamano wa nchi yetu ambao kuja kuuziba huu ufa ni mpaka damu imwagike ndio makosa yaliyofanywa na bunge hili kama yataitambua hiyo mahakama yatadhihiri.

Hawa jamaa hata waende shule ipi huwa hivyo hivyo na ndo maana hata huyo Kikwete pamoja na Uprofesa wake anayoyafanya ni hatari kwa mstakabali wa taifa hili. Mzee Nyerere alilijenga taifa hili kwa kukemea mambo haya na taratibu mambo haya yalibaki historia na sasa taratibu kwa kushirikiana na hawa WAROHO WA MADARAKA ccm itakuwa hatari mbeleni!
 
hizo hizo hospital na shule hazijiendeshi kwa faida? je, hiyo faida inamnufaisha mtanzania au taasisi ya kikristo? hiyo faida haizalishwi na kodi zetu kwa asilimia fulani? je hizo kdi zinalipwa na wakristo tu?

Hakuna shule inayoghamikiwa na Serikali isipokuwa tu Hospitali ambazo waajiliwa wake(madaktari na wa manesi) ni waislamu, wakristo, dini zingine na wasiona dini! Chuo cha Waisamu Morogoro imeajili wakristo wangapi??
 
Memorandum of Understanding kati ya Kanisa na Serikali haikuwa Upendeleo kwa Wakristo? Nani amekwambia kuwa Mahakama ya kadhi itakuwa inashughulikia mambo ya torati? .. Mahakama ya kadhi itakuwa inashughulikia mambo ya Ndoa na Mirathi pekee! Tena kwa wenye kupenda mambo yao yaamuliwe kwa mijibu wa dini yao!!! ... Walikuwa wanabeza Islamic Banking! Ona sasa jinsi wanavyoikimbilia... Islamic Bond ndo zimeweza kuendeleza nchi za Asia kwa haraka zaidi... Tatizo la wengi ni Upogo wa Udini ndo umewatawala kiasi cha kushindwa kujielimisha zaidi ...
Hiyo sheria ya Canon law inayotumiwa na Serikali lini ilikataza waislamu wasiwe na wake wengi dume moja????? Au ulitaka nayo iseme mkateni mikono wale wezi na kupiga watu mawe mpaka kufa kama ilivyo torati!?? Jitafakali sana nchi hii ina wenye dini wengi na Waislamu msijione kuwa mko bora kuliko wengine mpate kaupendeleo fulani tu!
 
Nchi ikishapata Uhuru wake huja na taratibu zake za kujiendesha, Tanzania baada ya Uhuru iliamua kuwa na Serikali isiyo na Dini ambayo imeongoza vizuri pasipo na tatazo la Udini, hii choko choko ya kupima watu ikipewa nafasi tutakaribisha sumu ya Udini ambayo kuiondoa itachukua mda .

Serikali isio kua na dini hii ya tanzania?????

Achane uongo mabilioni mnayopataa ili mueneze ukafi ri wenuu

Kilaa kukuichaa mnaibia hii nchi
Makafir.in mnaongoza kwa ufisadi
 
Back
Top Bottom