Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

Makafiri mahakama haiwahusu nyinyi kinauwaumeni nini ?

Na ninyi acheni kudeka kama vifaranga vya kuku kwa mama yake.Kila kitu munataka mubebwe kama viwete.Shule za wakristo zilitaifishwa kwa ajili yenu,Majengo ya serekali mulipewa enzi ya Mkapa mkayafanya kuwa chuo kikuu chenu na sasa mahakama ya kadhi mumebebwa ina maana kuwa mahakama yakadhi ikibaki kwenye katiba yenu ya kiislamu bila ya kuingizwa kwenye katiba ya Taifa inayowahusu watu wote pamoja na sisi makafiri haitakuwa mahakama?.Kila kitu kubebwa mwisho mtatumbukizwa kaburini kwa kupenda vya dezo.
 
yapo mambo ambayo uislamu unastahili kuyatafuta kwa nguvu zote ktk nchi hii badala ya upuuzi wa mahakama. Nini tulichokosa ktk mahakama ya kawaida? Siwezi kuwaza kama mufti au sheikh wa msikiti fulani. Mimi nimeenda shule na nastahili kuwa ktk level ya elimu yangu.

Uislamu hauna shule ya maana ktk nchi hii, hauna hospitali ya kujivunia, hakuna chuo kikuu cha kujivunia, halafu tunahangaikia mahakama itakolazimisha nitoe thumni. Sawa! Lakini pia itakayotoa thumni kwa dada yangu. It is stupid and rubbish!

ahsanteee
 
Na ninyi acheni kudeka kama vifaranga vya kuku kwa mama yake.Kila kitu munataka mubebwe kama viwete.Shule za wakristo zilitaifishwa kwa ajili yenu,Majengo ya serekali mulipewa enzi ya Mkapa mkayafanya kuwa chuo kikuu chenu na sasa mahakama ya kadhi mumebebwa ina maana kuwa mahakama yakadhi ikibaki kwenye katiba yenu ya kiislamu bila ya kuingizwa kwenye katiba ya Taifa inayowahusu watu wote pamoja na sisi makafiri haitakuwa mahakama?.Kila kitu kubebwa mwisho mtatumbukizwa kaburini kwa kupenda vya dezo.

Kafiri povu linakutoka tu .. umetumia muda gani kuandika hyo duh .
 
Mambo ya Imani ya dini wasiyaweke kwenye katiba CCM wanataka kututaftia matatizo.
 
Hata kama wakiingiza mahakama ya Kadhi kwenye katiba lakini wahakkishe inagharamiwa na waislam wenyewe. Haiwezekani kodi yangu iendeshe mahakama ya mtu anaeniita KAFIR

Ukimuruhusu ngamia apenyeze kichwa chake ndani ya nyumba kujisitiri mvua ataingia mzima mzima mwisho atakutoa nje kwa mateke ukachapwe na mvua.
 
Jana katibu wa bunge maalumu alisema suala hili limewekwa kando kwanza wewe umeyatoa wapi haya unapenda sna umbea binti.
Usiwe mwepesi wa kutetea ujinga.Magazeti yameendika na hilo bunge uchwara limejadili.Kwa kuiweka hiyo mahakama ya kadhi tu basi mtegemee kudhundwa kwenye kura ya maoni.Dada Tanzania ni yetu sote CCM hamna hati miliki ya Tanzania.Ns huyo aliyeanzisha mwambieni mapema.
 
Hapa kinachofanyika werevu tushaelewa...lengo ni kuwagawa UKAWA.Ni kuvunja ndoa. Ni vita ya propaganda japo ni hatari sana na inaweza leta ufa mkubwa SANA
 
CCM wana hofu ya kung'oka na hivyo wabatumia mbinu yeyote kujiridhisha kuwa wataendelea kubaki
 
Wakristo 75 percent waislam 20 percent Hindi plus wapagani utamalizia mwenyewe hata kwa bunduki hakuna mahakamani ya kadhiaaa,mkiwa na makesi yenu pelekeni huko Kenya kwenye hiyo mahakamani ya kadhiaaa

Wewe una laana ya Wazazi wako wewe. Waislamu Tanzania ni Asilimia 60 na wakristo 35.
 
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.

huyu kajaa chuki za kikafiri ndiomana anataka kupotosha wengine.

HAKI ITAKUWA HAKI HATAKAMA DUNIA NZIMA ITAKUWA KINYUME NAYO.
 
CCM na SITTa wote wapuuzi na watalaaniwa kwa kuingiza nchi katika ubaguzi wa kidini! Long LIVE Tanzania! Walaaniwe Sitta na Wanafiki wenzake wanaotaka kuitumbukiza nchi yetu katika dimbi la damu kwa ulafi wao wa madaraka!
Jana katibu wa bunge maalumu alisema suala hili limewekwa kando kwanza wewe umeyatoa wapi haya unapenda sna umbea binti.
 
Acha ujinga wewe mahakama ya kadhi ya nini wakati kuna mahakama za kawaida au mnataka kukuta watu shingo kwa majambia yenu mkisaidiwa na ustadhi sitta na membe?
huyu kajaa chuki za kikafiri ndiomana anataka kupotosha wengine.

HAKI ITAKUWA HAKI HATAKAMA DUNIA NZIMA ITAKUWA KINYUME NAYO.
 
Waislam wanataka mahkama ya kadh iwekwe kwenye katba kuna sbb nying mfano-Mtu anaweza akamuacha mkewe,Mke akaenda kwa kadhi lkn kadhi akaamua huyo mume aje mahkaman mume anaweza kukataa kwasbb hakuna mamlaka inayomlazmisha lkn kadhi akiwa kikatiba anaweza kuomba police kwenda kumfata kilazima huo ni mfano mmoja ktk mingi
 
Nadhani mleta mada una mihemko ndio maana unatetemeka, unasema mwenyewe kuwa watu ndio wana dini, sasa hiyo katiba inayotungwa si ni kwa ajili ya watu ambao wana dini,
Ni lazima kama tuna waruhusu Waislam kuwa na
Mahakama ya Kadhi basi katiba itamke ili isije ikatokea mbele kiongozi akaongeza au kupunguza nguvu na mamlaka ya Mahakama ya Kadhi. Kama sheria inatambua mila na desturi za watu kwanini isitambue dini.
Mleta mada fikiria tena vizuri utaelewa tu
 
Back
Top Bottom