Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,094
we kuwa na heshima mahakama ya kadhi ni ibada kwa waislam na usithubutu kusema ni upuuzi
usitushirikishe kwenye ibada yenu tena kwa kodi zetu, never. NATHUBUTU KUSEMA NI UPUUZI
we kuwa na heshima mahakama ya kadhi ni ibada kwa waislam na usithubutu kusema ni upuuzi
Makafiri mahakama haiwahusu nyinyi kinauwaumeni nini ?
yapo mambo ambayo uislamu unastahili kuyatafuta kwa nguvu zote ktk nchi hii badala ya upuuzi wa mahakama. Nini tulichokosa ktk mahakama ya kawaida? Siwezi kuwaza kama mufti au sheikh wa msikiti fulani. Mimi nimeenda shule na nastahili kuwa ktk level ya elimu yangu.
Uislamu hauna shule ya maana ktk nchi hii, hauna hospitali ya kujivunia, hakuna chuo kikuu cha kujivunia, halafu tunahangaikia mahakama itakolazimisha nitoe thumni. Sawa! Lakini pia itakayotoa thumni kwa dada yangu. It is stupid and rubbish!
Na ninyi acheni kudeka kama vifaranga vya kuku kwa mama yake.Kila kitu munataka mubebwe kama viwete.Shule za wakristo zilitaifishwa kwa ajili yenu,Majengo ya serekali mulipewa enzi ya Mkapa mkayafanya kuwa chuo kikuu chenu na sasa mahakama ya kadhi mumebebwa ina maana kuwa mahakama yakadhi ikibaki kwenye katiba yenu ya kiislamu bila ya kuingizwa kwenye katiba ya Taifa inayowahusu watu wote pamoja na sisi makafiri haitakuwa mahakama?.Kila kitu kubebwa mwisho mtatumbukizwa kaburini kwa kupenda vya dezo.
Waislam tulisha jitambua na hatudanganyiki.
Hata kama wakiingiza mahakama ya Kadhi kwenye katiba lakini wahakkishe inagharamiwa na waislam wenyewe. Haiwezekani kodi yangu iendeshe mahakama ya mtu anaeniita KAFIR
hatutaki upuuzi huo
Usiwe mwepesi wa kutetea ujinga.Magazeti yameendika na hilo bunge uchwara limejadili.Kwa kuiweka hiyo mahakama ya kadhi tu basi mtegemee kudhundwa kwenye kura ya maoni.Dada Tanzania ni yetu sote CCM hamna hati miliki ya Tanzania.Ns huyo aliyeanzisha mwambieni mapema.Jana katibu wa bunge maalumu alisema suala hili limewekwa kando kwanza wewe umeyatoa wapi haya unapenda sna umbea binti.
Wakristo 75 percent waislam 20 percent Hindi plus wapagani utamalizia mwenyewe hata kwa bunduki hakuna mahakamani ya kadhiaaa,mkiwa na makesi yenu pelekeni huko Kenya kwenye hiyo mahakamani ya kadhiaaa
Tatizo lako ni ushabiki na husda, huna la ziada. unataka kuishawishi jamii wa watanzania hasa wakristo kuwa mahakama ya kadhi italeta vita!? huenda ww ndio hujafanya utafiti juu ya hili. Znz, Kenya, Uganda, SA na hata Uingereza kutaja kwa uchache zinamahakama ya kadhi. je umeshawahi sikia kuwa mahakama hizo zimesababisha vita? mahakama ni chombo cha haki na kuwekewa utaratibu maalum kwa uendeshaji wake. By the way hiyo mahakama ww haitakuhusu sasa jasho la nn? hata hvy wewe endelea tu kutetemeka na pengine jiny...kabisa, lakini wapaswa kujua kuwa watu wa aina yako ndio watakao iingiza nchi kwny shida na si mahakama.
Jana katibu wa bunge maalumu alisema suala hili limewekwa kando kwanza wewe umeyatoa wapi haya unapenda sna umbea binti.
huyu kajaa chuki za kikafiri ndiomana anataka kupotosha wengine.
HAKI ITAKUWA HAKI HATAKAMA DUNIA NZIMA ITAKUWA KINYUME NAYO.