Kwa muda sasa nimekuwa na mashaka makubwa juu ya suala hili, inapofikiwa suala la shauri kuwa mahakamani, nina wasiwasi wa kutumiwa vibaya kwa mantiki nzima ya kuingilia uhuru wa mahakama, itafikia kipindi kuna suala nyeti linalotakiwa kupatiwa ufumbuzi haraka lakini chombo chenye mamlaka ya kuisimamia serikali(bunge) kitashindwa kutafuta ufumbuzi kwa sababu za kuingilia uhuru wa mahakama. solution ni pamoja na mhimili wa executive kupunguziwa mamlaka.