Mahakama kuu shinyanga

dazu

JF-Expert Member
Feb 26, 2011
365
76
Miaka takriban minne iliyopita Serikali ilianza mchakato wa ujenzi wa jengo la mahakama kuu mkoani shinyanga. Hata hivyo, ujenzi huo umesimama kwa muda mrefu sasa huku hakuna taarifa rasmi kuhusu sababu za kusimama kwa ujenzi huo. Taarifa zisizo rasmi zinaeleza kwamba, jengo hilo la ghorofa 3 limejengwa chini ya kiwango kiasi cha kuhatarisha maisha ya watumiaji. <?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:p></o:p>
 
Hata mimi hiyo sababu ya chini ya kiwango nimeisikia. Sijui ni kweli ama vipi...
 
SUNGWA.jpg
Inatia aibu kwa idara ya mahakama namna hii
Miaka takriban minne iliyopita Serikali ilianza mchakato wa ujenzi wa jengo la mahakama kuu mkoani shinyanga. Hata hivyo, ujenzi huo umesimama kwa muda mrefu sasa huku hakuna taarifa rasmi kuhusu sababu za kusimama kwa ujenzi huo. Taarifa zisizo rasmi zinaeleza kwamba, jengo hilo la ghorofa 3 limejengwa chini ya kiwango kiasi cha kuhatarisha maisha ya watumiaji. <?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:p></o:p>
 
Kama serikali inachakachua... kwa nini wengine wasiige! ....Au tuipeleke mahakama mahakamani.
 
Kuna kesi inayomhusu jaji kagonga na kuua haijaanza kwa sababu wanashindwa itaendeshwaje! Hii ya jengo haitakuwepo maana wanajua kujitetea
 
jaji kugonga na jengo kutokamilika havina uhusiano wowote kwani mahaka haishtaki mtu bali ofisi ya DPP. Kuhusu jengo alipewa mkandarasi na hela zinatoka hazina naona kwa hili iulizwe hazina na sii mahakama kwnai sio wanaopanga hiyo bajeti.
 
Back
Top Bottom