Mahakama Kuu: Kifungu kinachoruhusu kuficha mashahidi wa kesi ni batili na kinyume na Katiba

Mahakama Kuu: Kifungu kinachoruhusu kuficha mashahidi wa kesi ni batili na kinyume na Katiba

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai haki ya kipekee kuomba ulinzi wa shahidi bila kumpa mshtakiwa haki sawa, na pia kinaruhusu maombi ya kusikilizwa upande mmoja bila kuhakikisha haki ya kusikilizwa kwa upande mwingine.

Mahakama imetangaza kifungu hicho kuwa batili na imeipa Serikali muda wa miezi 12 kufanya marekebisho ya sheria. Itakumbukwa kwamba, Jamhuri walitumia kifungu hicho na kupeleka Maombi mahakama kuu mbele ya Jaji Mtembwa ambaye alikubali Maombi ya Jamhuri kuficha mashahidi wao wakiita ulinzi wa mashaidi.

Maombi hayo yanasajiliwa na Jamhuri peke yao, wanasikilizwa peke yao na Mahakama inatoa uamuzi. Angalau leo, Mahakama kuu imetamka kwamba Kifungu hicho ni kinyume na Katiba!

Screenshot 2026-02-16 121048.png
Pia soma>> Mawakili zaidi ya 13 wafungua kesi kupinga mashahidi wa siri, wakidai inaleta changamoto za haki na uwazi

Ni kupitia Petition NO. 22482 /2025, kati ya GODFREY MJUNI MARTIN BASASINGOHE dhidi ya ATTORNEY GENERAL & DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTIONS.

======================

Akizungumzia uamuzi huo, Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi amesema, hauwezi kuathiri mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwani Mahakama imeipa Serikali miezi 12 kurekebisha sharia hiyo.

“Kwa sasa Serikali imepewa miezi 12 kurekebisha, kwa hiyo sharia inaendelea mpaka muda huo upite. Ukipita sharia hiyo inakuwa batili,” amesema.
 
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai haki ya kipekee kuomba ulinzi wa shahidi bila kumpa mshtakiwa haki sawa, na pia kinaruhusu maombi ya kusikilizwa upande mmoja bila kuhakikisha haki ya kusikilizwa kwa upande mwingine.

Mahakama imetangaza kifungu hicho kuwa batili na imeipa Serikali muda wa miezi 12 kufanya marekebisho ya sheria. Itakumbukwa kwamba, Jamhuri walitumia kifungu hicho na kupeleka Maombi mahakama kuu mbele ya Jaji Mtembwa ambaye alikubali Maombi ya Jamhuri kuficha mashahidi wao wakiita ulinzi wa mashaidi.

Maombi hayo yanasajiliwa na Jamhuri peke yao, wanasikilizwa peke yao na Mahakama inatoa uamuzi. Angalau leo, Mahakama kuu imetamka kwamba Kifungu hicho ni kinyume na Katiba!

View attachment 3544722
Pia soma>> Mawakili zaidi ya 13 wafungua kesi kupinga mashahidi wa siri, wakidai inaleta changamoto za haki na uwazi

Ni kupitia Petition NO. 22482 /2025, kati ya GODFREY MJUNI MARTIN BASASINGOHE dhidi ya ATTORNEY GENERAL & DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTIONS.
Screenshot_20251201-222021~2.png
 
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai haki ya kipekee kuomba ulinzi wa shahidi bila kumpa mshtakiwa haki sawa, na pia kinaruhusu maombi ya kusikilizwa upande mmoja bila kuhakikisha haki ya kusikilizwa kwa upande mwingine.

Mahakama imetangaza kifungu hicho kuwa batili na imeipa Serikali muda wa miezi 12 kufanya marekebisho ya sheria. Itakumbukwa kwamba, Jamhuri walitumia kifungu hicho na kupeleka Maombi mahakama kuu mbele ya Jaji Mtembwa ambaye alikubali Maombi ya Jamhuri kuficha mashahidi wao wakiita ulinzi wa mashaidi.

Maombi hayo yanasajiliwa na Jamhuri peke yao, wanasikilizwa peke yao na Mahakama inatoa uamuzi. Angalau leo, Mahakama kuu imetamka kwamba Kifungu hicho ni kinyume na Katiba!

View attachment 3544722
Pia soma>> Mawakili zaidi ya 13 wafungua kesi kupinga mashahidi wa siri, wakidai inaleta changamoto za haki na uwazi

Ni kupitia Petition NO. 22482 /2025, kati ya GODFREY MJUNI MARTIN BASASINGOHE dhidi ya ATTORNEY GENERAL & DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTIONS.
Hii itaathiri vipi kesi ya Lissu?...wale jamaa waliofichwa kwenye visanduku wataonekana?...vp kuhusu ushahidi walioutoa wakiwa mafichoni bado utatumika?..

Pascal Mayalla
 
Hii itaathiri vipi kesi ya Lissu?...wale jamaa waliofichwa kwenye visanduku wataonekana?...vp kuhusu ushahidi walioutoa wakiwa mafichoni bado utatumika?..

Pascal Mayalla
The court when listening to a case, it's blind and deaf, on anything happening outside the court room, ili uamuzi huo ujumuishwe kwenye hii case, the court has to be moved, lazima mawakili wa Lissu wailete hiyo judgment hapo mahakamani na majaji waisome na kuifanyia deliberations
P
 
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai haki ya kipekee kuomba ulinzi wa shahidi bila kumpa mshtakiwa haki sawa, na pia kinaruhusu maombi ya kusikilizwa upande mmoja bila kuhakikisha haki ya kusikilizwa kwa upande mwingine.

Mahakama imetangaza kifungu hicho kuwa batili na imeipa Serikali muda wa miezi 12 kufanya marekebisho ya sheria. Itakumbukwa kwamba, Jamhuri walitumia kifungu hicho na kupeleka Maombi mahakama kuu mbele ya Jaji Mtembwa ambaye alikubali Maombi ya Jamhuri kuficha mashahidi wao wakiita ulinzi wa mashaidi.

Maombi hayo yanasajiliwa na Jamhuri peke yao, wanasikilizwa peke yao na Mahakama inatoa uamuzi. Angalau leo, Mahakama kuu imetamka kwamba Kifungu hicho ni kinyume na Katiba!

Pia soma>> Mawakili zaidi ya 13 wafungua kesi kupinga mashahidi wa siri, wakidai inaleta changamoto za haki na uwazi

Ni kupitia Petition NO. 22482 /2025, kati ya GODFREY MJUNI MARTIN BASASINGOHE dhidi ya ATTORNEY GENERAL & DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTIONS.

======================

Akizungumzia uamuzi huo, Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi amesema, hauwezi kuathiri mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwani Mahakama imeipa Serikali miezi 12 kurekebisha sharia hiyo.

“Kwa sasa Serikali imepewa miezi 12 kurekebisha, kwa hiyo sharia inaendelea mpaka muda huo upite. Ukipita sharia hiyo inakuwa batili,” amesema.
Ni kwamba hao mliolenga kuwaficha wameshamaliza kutoa ushahidi wao and if that's not the case warudie kutoa ushahidi this time around bila ya kuwa wamefichwa ili mlalamikiwa atendewe haki.
 
The court when listening to a case, it's blind and deaf, on anything happening outside the court room, ili uamuzi huo ujumuishwe kwenye hii case, the court has to be moved, lazima mawakili wa Lissu wailete hiyo judgment hapo mahakamani na majaji waisome na kuifanyia deliberations
P
Wasipouleta ina maana hao jamaa wataendelea kutoa ushahidi wakiwa kwenye kisanduku?...sababu huu uamuzi haujawafikia?...


Sheria ni taaluma ngumu..
 
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai haki ya kipekee kuomba ulinzi wa shahidi bila kumpa mshtakiwa haki sawa, na pia kinaruhusu maombi ya kusikilizwa upande mmoja bila kuhakikisha haki ya kusikilizwa kwa upande mwingine.

Mahakama imetangaza kifungu hicho kuwa batili na imeipa Serikali muda wa miezi 12 kufanya marekebisho ya sheria. Itakumbukwa kwamba, Jamhuri walitumia kifungu hicho na kupeleka Maombi mahakama kuu mbele ya Jaji Mtembwa ambaye alikubali Maombi ya Jamhuri kuficha mashahidi wao wakiita ulinzi wa mashaidi.

Maombi hayo yanasajiliwa na Jamhuri peke yao, wanasikilizwa peke yao na Mahakama inatoa uamuzi. Angalau leo, Mahakama kuu imetamka kwamba Kifungu hicho ni kinyume na Katiba!

Pia soma>> Mawakili zaidi ya 13 wafungua kesi kupinga mashahidi wa siri, wakidai inaleta changamoto za haki na uwazi

Ni kupitia Petition NO. 22482 /2025, kati ya GODFREY MJUNI MARTIN BASASINGOHE dhidi ya ATTORNEY GENERAL & DIRECTOR OF PUBLIC PROSECUTIONS.

======================

Akizungumzia uamuzi huo, Mkurugenzi wa Sheria wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi amesema, hauwezi kuathiri mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwani Mahakama imeipa Serikali miezi 12 kurekebisha sharia hiyo.

“Kwa sasa Serikali imepewa miezi 12 kurekebisha, kwa hiyo sharia inaendelea mpaka muda huo upite. Ukipita sharia hiyo inakuwa batili,” amesema.
Hiyo sheria ilikuwa imetungwa kwa ajili ya Lisu, ndio maana mahakama imeipa serekali miezi.12 kwani kesi ya Lisu itakuwa imeisha.
 
The court when listening to a case, it's blind and deaf, on anything happening outside the court room, ili uamuzi huo ujumuishwe kwenye hii case, the court has to be moved, lazima mawakili wa Lissu wailete hiyo judgment hapo mahakamani na majaji waisome na kuifanyia deliberations
P
wakati mwingine si kila uamuzi kuiachia mahakama ndio maana Kambarage aliwachapa viboko wala rushwa japo mahakama haikuwa na adhabu hiyo
 
The court when listening to a case, it's blind and deaf, on anything happening outside the court room, ili uamuzi huo ujumuishwe kwenye hii case, the court has to be moved, lazima mawakili wa Lissu wailete hiyo judgment hapo mahakamani na majaji waisome na kuifanyia deliberations
P
Umeona muda mahakama iliyowapa serekali kurekebisha? Hiyo sheria ilitungwa kwa ajili ya Lisu. Sio kwamba mahakama hawajui wanalofanya, bali hayo ni maagizo wamepewa.
 
Umeona muda mahakama iliyowapa serekali kurekebisha? Hiyo sheria ilitungwa kwa ajili ya Lisu. Sio kwamba mahakama hawajui wanalofanya, bali hayo ni maagizo wamepewa.
Mahakama zetu ni Mahakama huru, hazifanyi kazi kwa maelekezo au kwa maagizo ya mtu yeyote!, sio mimi ninayesema haya ni katiba ya JMT ya mwaka 1977. " Mahakama huru zinazotekeleza wajibu wa kutoa haki bila woga wala upendeleo wowote, na hivyo kuhakikisha kwamba haki zote za binadamu zinadumishwa na kulindwa, na wajibu wa kila mtu unatekelezwa kwa uaminifu"

P
 
Umeona muda mahakama iliyowapa serekali kurekebisha? Hiyo sheria ilitungwa kwa ajili ya Lisu. Sio kwamba mahakama hawajui wanalofanya, bali hayo ni maagizo wamepewa.
Nadhani kurekebisha na kuwa kinyume na Katiba ni mambo mawili tofauti.

Kama alivyosema Pascal Mayalla hukumu imeshatolewa na kubatilisha hiyo Sheria kwa ivo ni Sheria batili.

Lakini pamoja na mahakama kusema ni Sheria batili, bado Sheria hiyo itakuwa imo kwenye vitabu vya sheria vya Tanzania.

Sasa kazi ya kuirekebisha au kuifuta si ya mahakama bali ni ya Serikali kupitia bungeni.

Alichosema Pasco ni kwamba mawakili wa Lissu wakiileta mahakamani hiyo hukumu, basi majaji wa kwenye kesi ya Lissu wataijadili...

Sasa hapo mjadala utakuwa kama jee hukumu hiyo imeathiri pia kesi ya Lissu? Hapo hoja za pande mbili na mtazamo wa majaji ndiyo utaamua kutoka hapa muelekeo utakuwaje.
 
Back
Top Bottom