mwaikenda
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 903
- 144
Kesho, tarehe 08.05.2013 mahakama kuu Dar es salaam itatoa uamuzi wa kesi ya kinachodaiwa "UGAIDI" inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Kamanda Wilfred Muganyizi Lwakatare.
Mahakama Kuu itatoa uamuzi wa kuifutilia mbali kesi hii na kumuacha huru Lwakatare ama kuamuru isikilizwe kesi namba 6 iliyofunguliwa mara ya kwanza kabla ya kukamatwa kwa mara ya pili na kufunguliwa mashtaka yale yale na watu wale wale kwa namna ile ile ya kihuni.
Makamanda wapigania Mabadiliko na Demokrasia ya kweli Tanzania mnahamasishwa kumiminika kwa wingi Mahakama kuu jijini Dar es salaam kwa ajili ya kumpa sapoti kamanda Lwakatare.
Mahakama Kuu itatoa uamuzi wa kuifutilia mbali kesi hii na kumuacha huru Lwakatare ama kuamuru isikilizwe kesi namba 6 iliyofunguliwa mara ya kwanza kabla ya kukamatwa kwa mara ya pili na kufunguliwa mashtaka yale yale na watu wale wale kwa namna ile ile ya kihuni.
Makamanda wapigania Mabadiliko na Demokrasia ya kweli Tanzania mnahamasishwa kumiminika kwa wingi Mahakama kuu jijini Dar es salaam kwa ajili ya kumpa sapoti kamanda Lwakatare.