Mahakama Kuu imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Efatha apime DNA kesi ya Ugoni

Mngoni mpe pesa atafikisha lakini sio mwanamke...! (watani zangu hawa) bombi hii nyumbi hii, pali pali pa' mfaranyaki..!
 
Mngoni mpe pesa atafikisha lakini sio mwanamke...! (watani zangu hawa) bombi hii nyumbi hii, pali pali pa' mfaranyaki..!

Hapa hujakosea, mngoni haaminiki kabisa kwenye hii kitu.Ata uchungaji unasahaulika.

Sioni kwanin Mwingira haogope kupima kama kweli hahusiki.
 
Hili ni doa kwa Nabii Mwingira na huduma yake....ni doa kwa kuwa kiongozi wa dini ni mtu anayetazamiwa kuiweka jamii katika mstari ulionyooka na sio kuipotosha.....Kiongozi wa dini anatakiwa ayakemee maovu katika jamii na sio kushiriki kuyatenda....kwa muumini aliyekuwa timamu hawezi akahudhuria ibada inayoongozwa na kiongozi mwenye kashfa ya uzinzi kwani ni uchafu usiopimika si tu kwenye macho ya jamii na waumini bali hata mbele ya muumba......Ikiwa watu tuliowatazamia kuliongoza jahazi la maadili kwa njia za kiroho wanaenenda hivi je hali ipoje kwa waumini wao wanaopokea mafundisho yao.....???
 
Sasa huyu nabii kama anauhakika hahusiki na kumla mke wa mtu kwa nini alikataa asipimwe DNA at the first place? Anaogopa nini? Just think about it, ilitakiwa awe wa kwanza yeye kudai apimwe ili asafishe jina lake
 
Labda huyu mungu wake maono anayompa ni kuchukua wake zawatu! hehehehe! hawa miungu wa dukani nao...!! ni sheedah !!
 
Kilicho nifurahisha ni wakili msomi Swai kushindwa kutofautisha Foreigner na Non Resident.Jamaa kakutana na Limama la Kichaga likamuingza mjıni.Amshukuru Mungu manake angekwishapotea duniani.Very interesting japo inasononesha upande mwingne.
 
Mbona umeiandika kimahaba sana au huyo mlalamikaji ni mume wako mpya maana sioni wapi mahakama imesema akapime DNA. Kesi haijaisha wewe unaandika umbea hapa kwamba kaambiwa akapime DNA.

Acheni umbea, andikeni habari kamili sio kuandika mahaba ya hawala yako hapa.

WHAT DOES THIS RULING MEAN?
This means that the case will be sent
back to the lower court and assigned
to a new Magistrate, where Dr.
Morris and his legal team hope to
get justice, and file their pending
applications to the court that will
then force Pastor Mwingira to submit
to both a DNA test to establish
paternity of the child now 7yrs old
which he had publicly denied, and is
the backbone of the case, and a HIV
test. Both Pastor Mwingira and Dr.
Phillis Nyimbi had unprotected sex
that resulted not only in the
pregnancy and the birth of the child,
but the questionable health status of
his estranged wife.
 
Back
Top Bottom