Maxmizer JF-Expert Member Aug 14, 2016 4,806 4,215 Jul 19, 2017 #221 hii kesi sijui iliishaje maana uzi ni wa 2015
joss1973 JF-Expert Member Mar 18, 2010 404 101 Jul 21, 2017 #222 Cku zote mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe .habari ni ya kishabiki .,hii ni mdai tu na bado haijathibitika kbs .lakin wapambe wameshashika bango
Cku zote mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe .habari ni ya kishabiki .,hii ni mdai tu na bado haijathibitika kbs .lakin wapambe wameshashika bango
Mtu mdogo JF-Expert Member Nov 2, 2016 525 824 Jul 21, 2017 #223 Haipaswi hata kidogo mtumishi wa bwana uhusishwe na shutuma kama hizi inamaana anazini
Mahesabu JF-Expert Member Jan 27, 2008 5,972 3,830 Nov 15, 2022 #224 Kuna vitu ukivifanya, PIPO wanajaribu kuunganisha DOTS
TimeOut JF-Expert Member Sep 20, 2022 3,897 8,054 Nov 15, 2022 #225 Mahesabu said: Kuna vitu ukivifanya, PIPO wanajaribu kuunganisha DOTS Click to expand... Usha fukua kaburi la 2017
Mahesabu said: Kuna vitu ukivifanya, PIPO wanajaribu kuunganisha DOTS Click to expand... Usha fukua kaburi la 2017
TimeOut JF-Expert Member Sep 20, 2022 3,897 8,054 Nov 15, 2022 #227 tracebongo said: Aya, kaburi limefukuliwa! Click to expand... Haya mambo sio kabisa
Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Oct 20, 2014 15,316 24,183 Nov 15, 2022 #229 Mwingira ameaibisha Bora akubsli udhaifu na aombe radhi!