Omary Kipingu
Member
- Feb 22, 2016
- 40
- 48
*13/5/2018*
Katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa *Dar es Salaam* Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg Tabia Maulid Mwita(Mnec)* Amewapongeza Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu kwa Kuunga mkono jitihada za Serikali ya Chama cha Mapinduzi na kuwapatia Vyeti *Wahitimu 556* katika Mahafali ya *Tano(5)* Ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Dsm.
Katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa *Dar es Salaam* Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg Tabia Maulid Mwita(Mnec)* Amewapongeza Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu kwa Kuunga mkono jitihada za Serikali ya Chama cha Mapinduzi na kuwapatia Vyeti *Wahitimu 556* katika Mahafali ya *Tano(5)* Ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Dsm.