Kuna ubwabwa nije pande hizo? Hongereni kwa kuhitimu.
Jibu la changamoto linaweza kuwa ndio au hapana ila na nyie wahitimu mmejiandaa vipi kukabiliana na soko la ajira?
Kuna ubwabwa nije pande hizo? Hongereni kwa kuhitimu.
Jibu la changamoto linaweza kuwa ndio au hapana ila na nyie wahitimu mmejiandaa vipi kukabiliana na soko la ajira?
Ebwana nawatakia kila la kheri..
Jamii inawahitaji sana.
Hatimae nimevaa joho. Tnx God
Hatimae nimevaa joho. Tnx God
Hatimae nimevaa joho. Tnx God
njoo univike taji husninyo. Pia usisahau kunilete mvinyo wa mpwapwa!
hongera mkuu, nimechelewa kuona hii post yako.
karibu kwenye ulimwengu wa bahasha za khaki!
Hongera sana mkuu!
congrants kilaza!
Leo tar. 25 na kesho tar 26 kutakuwa na mahafali ya pili ya chuo kikuu cha Dodoma, hongera kwa wahitimu wote na watu wote mnakarbshwa.
Changamoto; Je, elimu itolewayo inakidhi mahitaji ya soko la ajira na utendaji kazi wa wahitimu ofisini?
Upande mmoja tunalalamika hakuna pesa ya kuendesha vyuo, wakati huo huo tunajiongezea gharama zisizo na lazima kufanya sherehe 2 za mahafali badala ya mahafali 1...