tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,201 Reaction score 29,762 Jun 25, 2021 #21 Tuache na mama tetu. Mungu mbariki mama Samia
Mnada wa Mhunze Senior Member Joined Mar 1, 2023 Posts 164 Reaction score 819 Jun 22, 2023 #22 Aiseee!
Mnada wa Mhunze Senior Member Joined Mar 1, 2023 Posts 164 Reaction score 819 Jun 22, 2023 #23 tamuuuuu said: Tuache na mama tetu. Mungu mbariki mama Samia Click to expand... Vipi mzee uendelee kuachwa na mama yako hahaha
tamuuuuu said: Tuache na mama tetu. Mungu mbariki mama Samia Click to expand... Vipi mzee uendelee kuachwa na mama yako hahaha
Mnada wa Mhunze Senior Member Joined Mar 1, 2023 Posts 164 Reaction score 819 Jun 22, 2023 #24 Bams said: Unapomlinganisha mtu muungana, mstaarabu, mwerevu NA mtu katili, mshamba, mtesaji, mdhulumaji, mbaguzi, muuaji- ni kumkosea sana huyo mtu wa kwanza. Marehemu anastahili kushindanishwa na mtu kama Idd Amin, Bokasa au Nguema. Click to expand... Vipi mzee bado una muunga mkono mtu muungwana?
Bams said: Unapomlinganisha mtu muungana, mstaarabu, mwerevu NA mtu katili, mshamba, mtesaji, mdhulumaji, mbaguzi, muuaji- ni kumkosea sana huyo mtu wa kwanza. Marehemu anastahili kushindanishwa na mtu kama Idd Amin, Bokasa au Nguema. Click to expand... Vipi mzee bado una muunga mkono mtu muungwana?
Mnada wa Mhunze Senior Member Joined Mar 1, 2023 Posts 164 Reaction score 819 Jun 22, 2023 #25 Tindo said: Usimlinganishe huyo mama na shetani tafadhali. Click to expand... Vipi mkuu za huko ulipoooooo hhhh
Tindo said: Usimlinganishe huyo mama na shetani tafadhali. Click to expand... Vipi mkuu za huko ulipoooooo hhhh
Tindo Platinum Member Joined Sep 28, 2011 Posts 69,583 Reaction score 123,069 Jun 22, 2023 #26 Mnada wa Mhunze said: Vipi mkuu za huko ulipoooooo hhhh Click to expand... Narudia tena, huwezi kumfananisha shetani na mtu.
Mnada wa Mhunze said: Vipi mkuu za huko ulipoooooo hhhh Click to expand... Narudia tena, huwezi kumfananisha shetani na mtu.
mlimilwa JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 3,341 Reaction score 3,533 Jun 22, 2023 #27 Ili ujue mama yupo vizuri..hao oote wanaobweka kipindi cha mama na wanaachwa wabweke..ingekua kipindiki cha mwendazake wasingethubutu kubweka. Hivyo wajinga tu ndio wasiomuelewa mama kua ni kiongozi shupavu asie na oga wala hasila.
Ili ujue mama yupo vizuri..hao oote wanaobweka kipindi cha mama na wanaachwa wabweke..ingekua kipindiki cha mwendazake wasingethubutu kubweka. Hivyo wajinga tu ndio wasiomuelewa mama kua ni kiongozi shupavu asie na oga wala hasila.