Magufuli na Tanzania yake hawana a coherent foreign policy agenda, ndio maana kitu cha kwanza alichomuagiza waziri ni kwamba eti aende kutatua matatizo ya Burundi.
Huwezi kusikia David Cameron ameteua waziri wa nje mpya halafu akamuagiza aende kutatua matatizo ya ndani ya Zimbabwe. Au Obama amtume waziri wake mpya kitu cha kwanza aende kutatua matatizo ya demokrasia ndani ya Iran.
Ambayo sio kitu cha ajabu sana kutokuwa na foreign agenda, ni kwamba tu sisi kama ka third world country fulani kasiko matter duniani kanakohangaika na njaa za ndani, magonjwa, rushwa, giza, albino, foleni na vumbi hatuna issues saaana na nje. Ndo maana serikali imeambiwa isisafiri na nchi inaenda. Hatuna issues nje. Very understandable.