Magufuli "Selema" Ni chaguo la Mungu

Magufuli "Selema" Ni chaguo la Mungu

12193679_10154301256885931_7320192938169281601_n.jpg
 
Unaweweseka

usiweweseke mchezo, hao wanyama watabaki kwa picha ya vizazi vyetu vijavyo, tnasubiri hizo ahadi, mie niko ukerewe nasubiri hizo meli tulizoahidiwa manake chinga aliahidi kapita, kaja jk kaahidi nae kapita, tunasubiri huyu mzinza kama itakuwa ni maneno ya kuombea kura ili atuweke pembeni tutajua baada ya miaka mi5, nipo huku tunasbiri hizo milioni 50 kila kijiji, kata yangu ina vijiji vi4 so tunasubiri mi. 200 kama walivyoahidi
 
Kama alituibia pesa zetu katika mikataba yake feki ya richmond.Na yeye muacheni mbowe na wenzake watafune pesa zake mpaka akome.Kikwete alishasema "ukipenda kula na wewe lazima ukubali kuliwa".lakini ikulu ataenda kwa mualiko maalum wa raisi magufuli.

Ikulu aalikwe kama nani hana cheo chochote ndani ya chama cha ukawa alikua mgombea tu sio kiongozi pole yake Arudi kuchunga ng'ombe kama alivosema
 
Zaidi ya JK?. Maana naye alikuwa la Mungu.
 
Mungu wa maiti asilimia kubwa ya watanzania ni maiti hawajitambui
 
Mungu amtangulie JPM ila akumbuke ahadi yake hasa kuwa kamata mafisadi wote bila kuangalia anatoka chama gani na asipofanya hatuta muelewa kabisa
 
Mungu amtangulie JPM ila akumbuke ahadi yake hasa kuwakamata mafisadi wote bila kuangalia anatoka chama gani na asipofanya hatuta muelewa kabisa
 
Wameumbuka sana hao watafiti uchwara ....maana utafiti
wao umeleta majibu tofauti na uhalisia wa matokeo yaliyo tangazwa.
 
Back
Top Bottom