Mama Regina nae ni shida, wanawake nao wamebadilika. Magufuli nae atume mke wake.
Haaaaaaah mnajidanganya UKAWA Mbeya tunaenda na Magufuli
Seriously?
Kumbe hapa ushindi ni lazima leo tupo na Nchemba kesho kutwa mama samia hapo kati
Nikuambie kitu kwa sasa asilimia kubwa ya mnaowaamini mko nao ni mdomoni tu kuna watu ni ccm damu wana bendera za ccm kadi ya ccm.ila wanakuambia kura wanampa lowassa wanaogopa kujitokeza kiwaziwazi kuogopa visasi amini hivyo ccm ya miaka ile sio hii ya leo.
We ndo utakapo ona kura nani anapata Mbeya vijana wengi ni wanafki
sasa mkuu huyo magufuri c itabidi aanze upya tena kampeni kwani, sio mbeya tu ni karibu sehemu zote alizoanza kupita tinga tinga sasa baada ya B52,kupita hata alama ya kuwa kulikuwa na tinga tinga hapo, huwezi juaTangu Lowassa aje afanye kampeni huku Mbeya hali ya kisiasa sio nzuri kwa upande wa CMM.Rudi Magufuli ili usawazishe huu mkoa unawatu wengi Sana.Watu wamepewa uwongo mwingi Sana na wanauamini.
Haaaaaaah mnajidanganya UKAWA Mbeya tunaenda na Magufuli