Magufuli anatakiwa aekewe speed governor... huwa hana break...!!!
Mh.Magufuli anapaswa2 kuwa mbali na wale wote ambao MAKO alikuwa anawasema adhalani bila kificho, asifanye makosa ya kuwarudisha kwenye CABINET au kuwafanya washauri wake wa KARIBU.
Hapo ni kwamba anaweza kufanya jambo la kuhatarisha au kuangamiza Taifa. Kumbuka, Magufuli mara nyingi huwa anazuiwa na wa juu yake katika maamuzi yake. Type yakina Magufuli ni hatari kwa usalama wa Taifa. Sasa ni muda wa Usalama wa Taifa kuwa macho endapo Magufuli atakua rais.