OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Lo! we jasili kweli. kubishana na wachumia tumbo wa nchi hii kunahitaji uvumilivu.
Here goes another cheerful mourner. . . . .
Lo! we jasili kweli. kubishana na wachumia tumbo wa nchi hii kunahitaji uvumilivu.
Hii inaitwa Stockholm Syndrome. Na hili ni tatizo jingine kwa Tanzania yetu. Tunafanywa mateka kisha twamtetea mtekaji.
Wewe ni Mtanzania, mhanga wa kila uhuni wa kisiasa. Suala si nani asiye wa kawaida Bali nani ni wa kawaida na asiyeweza kuikwamua Tanzania yetu.
Lakini kujibu swali la nani si wa kawaida ambalo kimsingi ulipaswa ujijibu mwenyewe, tumeshuhudia ujasiri wa akina Makongoro calling a spade a spade kwamba CCM imeporwa. Ushamskia Magufuli akiwa na ujasiri huo?
Tuna akina Dkt Slaa waliomudu kututajia wabakaji wa uchumi wetu, wakatishwa kupelekwa mahakamani (actually Riz alienda mahakamani sijui kesi yake vs Slaa imefia SAP) lakini hawakutetereka.
Tuna akina Warioba waliokebehiwa na JK, wakapigwa na akina Makonda lakini wakaendelea kutetea Katiba Mpya.
And you are hereby asking me " nani si wa kawaida"? Why are we so used to settling for less when we actually deserve the best?
Magufuri ni mchapakazi na anafahamika pia,kama kubebwa na jk ni sahihi sababu kuna watu walitaka kutumia pesa ili waingie wao ikulu,jk aluposema anakura moja muhimu ndiyo iliyotumika kama ilivyotumika na nyerere kwa mkapa,hivyo magufuri ni sahihi na ni mchapakazi,watu wasimbeze kwa interest zao na chuki zao,wajenge hoja,kwanza hata huyo riz watu wanaongea tu,kila kizuri cha riz,hakyna mwenye evidence,wabongo tupunguze kutunga maneno
Labda tusaidie tusiojua. Kipi hasa alichofanya Magufuli unachoweza kukiita 'out of this world'? Bomoabomoa? Daraja la Kigamboni? Kuuza nyumba za serikali? Bil 250 za ripoti ya CAG?
TATIZO NI MAZOWEA YA KU-SETTLE FOR LESS
Hatutaki maneno..tunataka action...kama Slaa sio wa kawaida mbona anafumbia macho ufisadi unaofanywa na Mbowe?? Kasome waraka wa the late Chacha Wangwe...
We ndo walewale
Hivi kwa busara kidogo tu,hicho unachoita ufisadi wa Mbowe kingekuwepo, akina Mwigulu na Nape wasingekishikia bango au wangepoteza muda wao kuzusha kesi za ugaidi?
Mkuu, tusipowaelimisha hawa wenzetu wavivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau tutaendelea kupata kile tusichostahili kila baada ya miaka mitano au kumi. Tusiwapuuze Bali tuendelee kuwaamsha hata kwa bakora ikibidi. Tanzania tunayostahili inawezekana ila tu umoja na mshikamano wa wahanga wa huu uhuni endelevu wa kisiasa.
Hivi kwa busara kidogo tu,hicho unachoita ufisadi wa Mbowe kingekuwepo, akina Mwigulu na Nape wasingekishikia bango au wangepoteza muda wao kuzusha kesi za ugaidi?
DahTanzania kama nchi tuna tatizo kubwa. Kwa vile ubabaishaji,uzembe, ufisadi na uovu mwingine kama huko umezoeleka mno,nasi akitokea kiongozi anayetekeleza majukumu kama yalivyotanabaishwa katika duties&responsibilities au person specifications za wadhifa husika, anaonekana kama malaika.
Na hiki ndo kinachotokea sasa: Magufuli kuonekana kama mchapakazi hodari atakayeweza kuinusuru Tanzania yetu. Hatuwaoni madaktari/manesi kuwa wachapakazi hodari kwa kutimiza majukumu ya kazi zao na kuokoa maisha yetu, wala hatuwaoni walimu wachapakazi hodari kwa kufika mashuleni na kufundisha (tena Mara nyingi katika mazingira magumu) lakini Magufuli akifanya japo robo ya kazi anayolipwa mshahara mnono kuitekeleza, anaonekana kama malaika.
Ni kwamba tunatarajia ubabaishaji, uzembe,ufisadi,nk kiasi kwamba kuwajibika ambako ni wajibu kwaonekana muujiza.
In fact, the so-called uchapakazi wa Magufuli ni ku-meet expectations za mwajiri wake, ambaye essentially ni wewe mlipa kodi. Lakini expectations sio exceptions. Twawajua wanasiasa wachache tunaoweza kuwaita exceptional, na Magufuli si mmoja wao, unless tushushe bar na kumpima kwa lens ya ubabaishaji,uzembe na ufisadi ambao ndo trademark ya wanasiasa wa CCM.
Je Magufuli ana courage ya kumbana Riz na washirika wake wanaoibaka Tanzania yetu day in day out? I don't think so. And by the way, urafiki wake na JK waweza kumfanya Jk akabaki 'Rais by proxy', akaongoza nchi kwa remote control, akawa de-facto president kama walivyokuwa Lowassa na Rostam at one time, na Kinana most of the time.
Rais tunayemhitaji ni atakayeingia Ikulu na kupitia utendaji wa mtangulizi wake si kwa minajili ya visasi au kukomoana Bali kuwezesha a fresh start. All I can see in Magufuli ni business as usual, simba wa makaratasi kama JK.
Anyway, one good thing about JF ni kuwa kama archive ambayo huko mbeleni twaweza kukumbushana haya akina sie twayabashiri mapema.
Time will tell.