Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,116
- 4,773
Tanzania kama nchi tuna tatizo kubwa. Kwa vile ubabaishaji,uzembe, ufisadi na uovu mwingine kama huko umezoeleka mno,nasi akitokea kiongozi anayetekeleza majukumu kama yalivyotanabaishwa katika duties&responsibilities au person specifications za wadhifa husika, anaonekana kama malaika.
Na hiki ndo kinachotokea sasa: Magufuli kuonekana kama mchapakazi hodari atakayeweza kuinusuru Tanzania yetu. Hatuwaoni madaktari/manesi kuwa wachapakazi hodari kwa kutimiza majukumu ya kazi zao na kuokoa maisha yetu, wala hatuwaoni walimu wachapakazi hodari kwa kufika mashuleni na kufundisha (tena Mara nyingi katika mazingira magumu) lakini Magufuli akifanya japo robo ya kazi anayolipwa mshahara mnono kuitekeleza, anaonekana kama malaika.
Ni kwamba tunatarajia ubabaishaji, uzembe,ufisadi,nk kiasi kwamba kuwajibika ambako ni wajibu kwaonekana muujiza.
In fact, the so-called uchapakazi wa Magufuli ni ku-meet expectations za mwajiri wake, ambaye essentially ni wewe mlipa kodi. Lakini expectations sio exceptions. Twawajua wanasiasa wachache tunaoweza kuwaita exceptional, na Magufuli si mmoja wao, unless tushushe bar na kumpima kwa lens ya ubabaishaji,uzembe na ufisadi ambao ndo trademark ya wanasiasa wa CCM.
Je Magufuli ana courage ya kumbana Riz na washirika wake wanaoibaka Tanzania yetu day in day out? I don't think so. And by the way, urafiki wake na JK waweza kumfanya Jk akabaki 'Rais by proxy', akaongoza nchi kwa remote control, akawa de-facto president kama walivyokuwa Lowassa na Rostam at one time, na Kinana most of the time.
Rais tunayemhitaji ni atakayeingia Ikulu na kupitia utendaji wa mtangulizi wake si kwa minajili ya visasi au kukomoana Bali kuwezesha a fresh start. All I can see in Magufuli ni business as usual, simba wa makaratasi kama JK.
Anyway, one good thing about JF ni kuwa kama archive ambayo huko mbeleni twaweza kukumbushana haya akina sie twayabashiri mapema.
Time will tell.
Na hiki ndo kinachotokea sasa: Magufuli kuonekana kama mchapakazi hodari atakayeweza kuinusuru Tanzania yetu. Hatuwaoni madaktari/manesi kuwa wachapakazi hodari kwa kutimiza majukumu ya kazi zao na kuokoa maisha yetu, wala hatuwaoni walimu wachapakazi hodari kwa kufika mashuleni na kufundisha (tena Mara nyingi katika mazingira magumu) lakini Magufuli akifanya japo robo ya kazi anayolipwa mshahara mnono kuitekeleza, anaonekana kama malaika.
Ni kwamba tunatarajia ubabaishaji, uzembe,ufisadi,nk kiasi kwamba kuwajibika ambako ni wajibu kwaonekana muujiza.
In fact, the so-called uchapakazi wa Magufuli ni ku-meet expectations za mwajiri wake, ambaye essentially ni wewe mlipa kodi. Lakini expectations sio exceptions. Twawajua wanasiasa wachache tunaoweza kuwaita exceptional, na Magufuli si mmoja wao, unless tushushe bar na kumpima kwa lens ya ubabaishaji,uzembe na ufisadi ambao ndo trademark ya wanasiasa wa CCM.
Je Magufuli ana courage ya kumbana Riz na washirika wake wanaoibaka Tanzania yetu day in day out? I don't think so. And by the way, urafiki wake na JK waweza kumfanya Jk akabaki 'Rais by proxy', akaongoza nchi kwa remote control, akawa de-facto president kama walivyokuwa Lowassa na Rostam at one time, na Kinana most of the time.
Rais tunayemhitaji ni atakayeingia Ikulu na kupitia utendaji wa mtangulizi wake si kwa minajili ya visasi au kukomoana Bali kuwezesha a fresh start. All I can see in Magufuli ni business as usual, simba wa makaratasi kama JK.
Anyway, one good thing about JF ni kuwa kama archive ambayo huko mbeleni twaweza kukumbushana haya akina sie twayabashiri mapema.
Time will tell.