Namheshimu sana, tena mimi ni miongoni mwa wale Wakatoliki wachache, tutakao takiwa kwenda Vatican kutoa ushuhuda utakaomfanya Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri.
Kasome hapa jinsi Magufuli anavyofanana na Nyerere
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
Katika kufanana, sio lazima mfanane kila kitu, hata wanandoa, kutokana na kuishi pamoja muda mrefu, inafikia kipindi, mume na mke wanafanana, hivyo kubali, kataa,Narudia tena na nnaomba unielewe katika hili, tafadhali sana, NAOMBA UMUHESHIMU BABA WA TAIFA.
baba wa taifa aliunganisha taifa, aliruhusu mawazo tofauti, HAKUA FISADI, hakua na tamaa ya madaraka wala hakua mtu visasi, hakuwahi kujiita kichaa wala hakua na roho ya visasi, alijali mali za umma!!
Nnarudia tena na ndio mara ya mwisho, naomba sana umuheshimu baba wa taifa.
Kauli huumba mkuu P nimethibitisha mwenyewe kwa upande wangu hata kwa wapinzan tunahitaj rais dikteta kaja usimpe mwanao majina mabaya wala kumfananisha na vitu vibaya utavuna manuizo na laana ya kutamkikaIt's the other way round, Magufuli ni incarnation ya Nyerere,
Ni Nyerere ndiye aliyetabiri Tanzania kutawaliwa na mtu kama Magufuli.
Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? - JamiiForums
Halafu Magufuli anafanana na Nyerere
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
Mkuu Isanga Family, kwenye kumfananisha Magufuli na Nyerere, sijalinganisha sura, wala Kanda ya Ziwa, nimelinganisha, mawazo, maneno na matendoPascal Mayalla Mkuu acha kumfananisha J.K Nyerere na vitu visivyoeleweka cha ajabu wewe unamjua vizuri Nyerere harafu kwa sababu unazozijua wewe unamfanisha na hawa wengine ambao uwezo wao ni kawaida kabisa...
Tena sio tuu ni product ya Warumi, bali kwa Tanzania, akiwa Mkristu ni lazima awe Mrumi.Hao wote Nyerere na Magufuli na Product ya Warumi
Jiwe mwenyewe anajitutumua kweli kujifanya alimjua Nyerere!Hadi wakati wa kifo chake, katika siasa za Tanzania tulizoea kuona Mwalimu Nyerere akitumia ushawishi wake kutuambia nani awe au anafaa kuwa Rais wetu. Sina ushahidi wowote kuwa Nyerere alimjua Magufuli (kama kuna mwenye nao naomba aulete). Ukiliangalia kwa jicho tu la kihistoria, kama Mwalimu hakumjua Magufuli, ni jambo kubwa na lenye maana sana.
Hiyo siku ambayo tungepata mtu ambaye hakutoka chini ya ulezi wa Mwalimu ingekuja tu hilo halina ubishi. Kwa hiyo hii siyo hukumu ya utendaji wa Rais Magufuli, ni historia tu inaangaliwa hapa.
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuandika kitabu kikubwa cha maisha ya Nyerere kinaitwa 'End of an Era'. Nadhani kifo chake kilikuwa mwanzo tu lakini taratibu, hatua kwa hatua tukawa tunasogea, tukaja wakati wa Kikwete tukapiga hatua zaidi kuelekea huko. Hatimaye tumefika kwa Ndugu John Pombe Joseph Magufuli.
Tunapoadhimisha kifo na maisha ya Nyerere, nadhani tutakuwa hatukosei tukisema awamu hii ya tano ni rasmi sasa tukisema 'it is indeed end of an era'.
Naomba hili jambo moja dogo tulikumbuke na tulihifadhi katika fikra zetu.
Mkuu Seek for a psychologist.Una low IQ kama the rest, kwa hiyo ulitegemea mtu aliyefariki miaka 10 iliyopita amjue kila Raisi wa JMTZ atakayekuja baadaye? Isitoshe sawa Nyerere hakumjua Raisi Magufuli hao Nyerere aliowajua pmj na Nyerere mwenyewe wamefanya nini TZ?
Isitoshe Nyerere na Magufuli wote Kanda ya Ziwa siajabu hata wanasikilizana na Nyerere viruga vyao na Nyerere alipendelea sana watu wa kwao!
Ngoja nisome tena huu Uzi wako niongeze MaarifaTena sio tuu ni product ya Warumi, bali kwa Tanzania, akiwa Mkristu ni lazima awe Mrumi.
Angalia terehe ya bandiko hili
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
P
It's the other way round, Magufuli ni incarnation ya Nyerere,
Ni Nyerere ndiye aliyetabiri Tanzania kutawaliwa na mtu kama Magufuli.
Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? - JamiiForums
Halafu Magufuli anafanana na Nyerere
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
Hadi wakati wa kifo chake, katika siasa za Tanzania tulizoea kuona Mwalimu Nyerere akitumia ushawishi wake kutuambia nani awe au anafaa kuwa Rais wetu. Sina ushahidi wowote kuwa Nyerere alimjua Magufuli (kama kuna mwenye nao naomba aulete). Ukiliangalia kwa jicho tu la kihistoria, kama Mwalimu hakumjua Magufuli, ni jambo kubwa na lenye maana sana.
Hiyo siku ambayo tungepata mtu ambaye hakutoka chini ya ulezi wa Mwalimu ingekuja tu hilo halina ubishi. Kwa hiyo hii siyo hukumu ya utendaji wa Rais Magufuli, ni historia tu inaangaliwa hapa.
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuandika kitabu kikubwa cha maisha ya Nyerere kinaitwa 'End of an Era'. Nadhani kifo chake kilikuwa mwanzo tu lakini taratibu, hatua kwa hatua tukawa tunasogea, tukaja wakati wa Kikwete tukapiga hatua zaidi kuelekea huko. Hatimaye tumefika kwa Ndugu John Pombe Joseph Magufuli.
Tunapoadhimisha kifo na maisha ya Nyerere, nadhani tutakuwa hatukosei tukisema awamu hii ya tano ni rasmi sasa tukisema 'it is indeed end of an era'.
Naomba hili jambo moja dogo tulikumbuke na tulihifadhi katika fikra zetu.
Pascal Mayalla ni muda nimeanza kukusikia kwenye tasnia ya habari sikutegemea kuwa na wewe kuwa na majibu ya kuwafananisha hawa watu wawili, kaa tuliza akili Mkuu harafu uone upo sawa kwa unachokipigania kwanza Nyerere ni mmoja wa Watanzania wachache wenye Ex rated Brain..Mkuu Isanga Family, kwenye kumfananisha Magufuli na Nyerere, sijalinganisha sura, wala Kanda ya Ziwa, nimelinganisha, mawazo, maneno na matendo
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
It makes a lot of sense why there is so much hopelessness in this land.Hadi wakati wa kifo chake, katika siasa za Tanzania tulizoea kuona Mwalimu Nyerere akitumia ushawishi wake kutuambia nani awe au anafaa kuwa Rais wetu. Sina ushahidi wowote kuwa Nyerere alimjua Magufuli (kama kuna mwenye nao naomba aulete). Ukiliangalia kwa jicho tu la kihistoria, kama Mwalimu hakumjua Magufuli, ni jambo kubwa na lenye maana sana.
Hiyo siku ambayo tungepata mtu ambaye hakutoka chini ya ulezi wa Mwalimu ingekuja tu hilo halina ubishi. Kwa hiyo hii siyo hukumu ya utendaji wa Rais Magufuli, ni historia tu inaangaliwa hapa.
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuandika kitabu kikubwa cha maisha ya Nyerere kinaitwa 'End of an Era'. Nadhani kifo chake kilikuwa mwanzo tu lakini taratibu, hatua kwa hatua tukawa tunasogea, tukaja wakati wa Kikwete tukapiga hatua zaidi kuelekea huko. Hatimaye tumefika kwa Ndugu John Pombe Joseph Magufuli.
Tunapoadhimisha kifo na maisha ya Nyerere, nadhani tutakuwa hatukosei tukisema awamu hii ya tano ni rasmi sasa tukisema 'it is indeed end of an era'.
Naomba hili jambo moja dogo tulikumbuke na tulihifadhi katika fikra zetu.
Hadi wakati wa kifo chake, katika siasa za Tanzania tulizoea kuona Mwalimu Nyerere akitumia ushawishi wake kutuambia nani awe au anafaa kuwa Rais wetu. Sina ushahidi wowote kuwa Nyerere alimjua Magufuli (kama kuna mwenye nao naomba aulete). Ukiliangalia kwa jicho tu la kihistoria, kama Mwalimu hakumjua Magufuli, ni jambo kubwa na lenye maana sana.
Hiyo siku ambayo tungepata mtu ambaye hakutoka chini ya ulezi wa Mwalimu ingekuja tu hilo halina ubishi. Kwa hiyo hii siyo hukumu ya utendaji wa Rais Magufuli, ni historia tu inaangaliwa hapa.
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuandika kitabu kikubwa cha maisha ya Nyerere kinaitwa 'End of an Era'. Nadhani kifo chake kilikuwa mwanzo tu lakini taratibu, hatua kwa hatua tukawa tunasogea, tukaja wakati wa Kikwete tukapiga hatua zaidi kuelekea huko. Hatimaye tumefika kwa Ndugu John Pombe Joseph Magufuli.
Tunapoadhimisha kifo na maisha ya Nyerere, nadhani tutakuwa hatukosei tukisema awamu hii ya tano ni rasmi sasa tukisema 'it is indeed end of an era'.
Naomba hili jambo moja dogo tulikumbuke na tulihifadhi katika fikra zetu.
Sio cha ajabu, it's a fact, Magufuli ni kama Nyerere, wanafanana kwa mengi, kuanzia asili hadi, utendaji
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
Inashangaza sana mkuu, yaani mleta mada anataka kila kiongozi wa nchi hii awe zao la Nyerere, itawezekana kweli, maana hata huko 2050 Tanzania itakuwa na Rais na kwa namna yeyote hawezi akawa kalelewa na Nyerere, na sidhani hata anaweza akawa anamfahamu hata Rais wa sasa.Mada nyingine za hovyo tu, kwani mleta mada kalelewa na Nyerere?
Kipi kizuri, kuwa na Rais ambaye hakulelewa na Mwalimu Nyerere ama kuwa na Rais aliyekataliwa na Mwalimu mwaka 1995?Hadi wakati wa kifo chake, katika siasa za Tanzania tulizoea kuona Mwalimu Nyerere akitumia ushawishi wake kutuambia nani awe au anafaa kuwa Rais wetu. Sina ushahidi wowote kuwa Nyerere alimjua Magufuli (kama kuna mwenye nao naomba aulete). Ukiliangalia kwa jicho tu la kihistoria, kama Mwalimu hakumjua Magufuli, ni jambo kubwa na lenye maana sana.
Hiyo siku ambayo tungepata mtu ambaye hakutoka chini ya ulezi wa Mwalimu ingekuja tu hilo halina ubishi. Kwa hiyo hii siyo hukumu ya utendaji wa Rais Magufuli, ni historia tu inaangaliwa hapa.
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuandika kitabu kikubwa cha maisha ya Nyerere kinaitwa 'End of an Era'. Nadhani kifo chake kilikuwa mwanzo tu lakini taratibu, hatua kwa hatua tukawa tunasogea, tukaja wakati wa Kikwete tukapiga hatua zaidi kuelekea huko. Hatimaye tumefika kwa Ndugu John Pombe Joseph Magufuli.
Tunapoadhimisha kifo na maisha ya Nyerere, nadhani tutakuwa hatukosei tukisema awamu hii ya tano ni rasmi sasa tukisema 'it is indeed end of an era'.
Naomba hili jambo moja dogo tulikumbuke na tulihifadhi katika fikra zetu.
It's the other way round, Magufuli ni incarnation ya Nyerere,
Ni Nyerere ndiye aliyetabiri Tanzania kutawaliwa na mtu kama Magufuli.
Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? - JamiiForums
Halafu Magufuli anafanana na Nyerere
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
P
Kwanza Nyerere anaeeza kuwa hakumjua Magufuli kwa nafasi ya rais ila alimjua kwa kutabiri kwamba anaeeza akaja kutokea mtu mwenye msimamo kama wa kwake,
Pili Magufuli amekuwa mbunge tokea mwaka 1995 ambapo Nyerere alikuwa anafuatilia mienendo ya siasa na wana siasa wapya ambao wamo ndani ya CCM na hata nje ya CCM,pia amekuwa naibu waziri na waziri kipindi hicho ni vigumu sana kwa wabunge wa CCM kutojulikana kwa aliyekuwa muasisi wa chama, natoa mfano mdogo kwamba mzee msingi akija akatangulia mbele ya haki mfano simaanishi, na baadae Suleimani Jaffo akawa rais utukasema mwinyi hamjui kisa hakumlea? Hapana ishu hapa ni kwamba Ana nafasi gani wakati gani,