Magufuli Ni Mzalendo wa Kweli.

Magufuli Ni Mzalendo wa Kweli.

m2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
979
Reaction score
1,354
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania
 
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania
 
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania
Mzalendo wa kweli hawezi kujaza watu wa kanda ya ziwa katika teuzi na kupendelea watu dini yake kwenye uongozi.
 
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania





Tundu Lissu ndiye aliyekuwa anaongoza serikali iliyotia saini mikataba ya uchimbaji wa madini iliyoruhusu usafirishwaji wa mchanga huo nje ya nchi?.Kila jambo analojaribu kupambana nalo Magufuli ni matokeo ya serikali ya ccm ambayo yeye mwenyewe alikuwa sehemu ya baraza la mawaziri kwa muda wa miaka 20,yeye ni sehemu ya mauzauza yote yaliyolikumba Taifa hili.
 
Kwa mambo ya namna hii namuunga mkono mh. Raisi ninachompinga ni kukandamiza demokrasia
 
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania
ID yako inaonyesha dhahiri kuwa unatafuta ulaji hapo baadae....hivi ni lini tutakuwa wazalendo...yakwamba leo hii mahakama ya mafisadi tujengewe mimi na wewe pamoja na THE SUPER POWER NGOYAI alafu kijamaa kidikteta uchwara kiwalinde hao akina Sim Tank na Jamaa wa tezi dume eti wasifungwe akati hapo hapo hicho kidikteta uchwara kinamlamikia tena huyo jamaa wa tezi dume kuwa kamuachia Shida nyingi nchini....hivi una UBONGO kweli????
 
Kupima uzalendo wa kweli kwa kuangalia tukio moja tu ni uendawazimu wa kweli.
 
Mzalendo wa kweli hawezi kujaza watu wa kanda ya ziwa katika teuzi na kupendelea watu dini yake kwenye uongozi.


Huko unakokuita Kanda ya Ziwa bado ni Tanzania hivyo hata kama haya unayoyasema yana ukweli wowote basi siyo jambo baya sana kwa maana kama Kanda ya Ziwa kukiendelea ina maana Tanzania imeendelea na watu Kigoma, Mbeya, Lushoto, Tunduru watakwenda Kanda ya Ziwa kufanya kazi na kuishi hivyo hamna tatizo kwa maana hata hivyo leo hii inabidi waombe viza kwenda Ulaya na USA!
 
Huko unakokuita Kanda ya Ziwa bado ni Tanzania hivyo hata kama haya unayoyasema yana ukweli basi siyo jambo baya kwa maana kama Kanda ya Ziwa kukiendela ina maana Tanzania imeendela na watu Kigoma, Mbeya, Lushoto, Tunduru watakwenda Kanda ya Ziwa kufanya kazi na kuishi hivyo hamna tatizo kwa maana hata hivyo leo hii inabidi waombe viza kwenye Ulaya na USA!

Ngoja uone madhara ukabila kama Kenya na udini ndo utaelewa hoja yangu.

Kuna dalili nyingi za watanzania kugawanyika katika misingi tajwa hapo juu
 
Huko unakokuita Kanda ya Ziwa bado ni Tanzania hivyo hata kama haya unayoyasema yana ukweli basi siyo jambo baya kwa maana kama Kanda ya Ziwa kukiendela ina maana Tanzania imeendela na watu Kigoma, Mbeya, Lushoto, Tunduru watakwenda Kanda ya Ziwa kufanya kazi na kuishi hivyo hamna tatizo kwa maana hata hivyo leo hii inabidi waombe viza kwenye Ulaya na USA!

ahaa Basi haina shida ,2020 akaombe kura kwa wasukuma na wakiristu wenzie
 
Mkuu rais Magufuli Hongera sana kwa uamuzi wa kuzuia mchanga wetu kutoroshwa na kuchujwa nje ya nchi. Wakati nchi ikipoteza fedha nyingi. Ni vema tutafute mkopo nafuu tuwekeze hapa Nyumbani Tupate fedha na ajira kwa watu wetu.

Tumemsikia Tundu Lisu akipinga jana kupitia sauti ya ujrumani kiswahili. Watanzania tumekuja jua wabaya wetu kimaendeleo.

Piga kazi baba mungu akubariki sana. Uwekezaji huu ni sehemu ya Uwekezaji wa viwanda Tanzania unaopigania
Kabla hujatoa comment na taarifa ingekuwa vyema ukamsikiliza Tundu Lissu alimaanisha nini,alipinga kivipi,kumkosoa TUNDU lissu inabidi uwe na weledi pia uelewa mzuri la sivyo utatwanga maji kwenye chungu,yule jamaa huwa hakurupuki kivile,tuwe tunatafakari kwanza kabla ya ku criticize.
 
Kwa mambo ya namna hii namuunga mkono mh. Raisi ninachompinga ni kukandamiza demokrasia
Mkuu, mimi nahisi pengine, anakandamiza demokrasia kwa dhamira njema kwasababu anajua upo uwezekano mkubwa ikiwa atasikiliza wata.kwamisha mipango yake kwa kumuonyesha uozo wa nyuma wa ccm. Na yeye pengine anajua hiyo ni stumbling block ya kwenda mbele. So anaamua kusonga mbele bila kutaka kusikiliza kelele za watu.
Ni mtazamo wangu tu.
 
wakuu alichosema tundu lisu ni kuwa hamuungi mkono magufuli kwa uamuzi huu wa kuzuia mchanga kwenda nje kwa kuwa magufuli atatuletea uhasama na vita kwa wawekezaji toka nje na mashirika makubwa ya kimataifa ya fedha. Kisa mikataba yetu hasa ya buzwagi inasema kuwa mchanga unaopatikana baada ya kuvuna dhahabu ni mali ya mwekezaji.

Hoja hapa ni kwamba hata kama mkataba utasema hivyo na kama kuna uwezekano wa mkataba huo kuvunjwa kwa maslahi mapana ya nchi kwa nini isiwe hivyo?

Naamini magufuli atakuwa amewasiliana na wanasheria wake kufahamu suala hili na mianya yake ya kutekeleza adhma yake. Muhimu zaidi ni kumuunga mkono na si kumpinga.
 
Dar es Salaam. Utekelezaji wa dhamira ya Rais
John Magufuli kuzuia usafirishaji wa mchanga
wa madini kwenda kuuchenjua nje ya nchi
akitaka shughuli hizo zifanyike nchini,
umeelezwa kuwa utachukua muda mrefu
kutokana na mchakato wake. Juzi, Rais Magufuli alinukuliwa na vyombo vya
habari wilayani Kahama akisema katika uongozi
wake hataki kuona mchanga huo ukisafirishwa. Agizo hilo limekuja wakati utafiti juu ya
uwezekano wa Tanzania kuwekeza katika
mtambo wa kuchenjua mchanga wa dhahabu ya
uliofanywa na Wakala wa Ukaguzi Madini
Tanzania (TMAA) Februari 2011, ukionyesha
kuwa ni uwekezaji unaohitaji fedha nyingi. Ripoti hiyo imesema gharama za usimikaji
mtambo kamili wenye uwezo wa kuchenjua
wastani wa tani 150,000 kwa mwaka, ingeweza
kufikia Dola za Marekani 500 milioni hadi Dola
800 milioni (sawa na Sh1.1 trilioni hadi Sh1.74
trilioni za sasa).
source
Mwananchi
 
Back
Top Bottom