Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Acha story za vijiweni hizo wewe?
Ina maana haujasikiliza taarifa kuhusu ujenzi wa Ikulu?
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Kwa hiyo Kama alijenga tufanyeje na yeye alikuta walivyojenga wenzie
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????
Magufuli hakujenga Ikulu ya Chamwino - Dodoma.

Ikulu ya Chamwino - Dodoma imejengwa na JKT kwa kutumia fedha za walipa kodi watanzania!
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO,
Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC,
Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote,chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli,,kwanini asitajwe,,shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia.
Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine.
Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭
Hivi mama Janet wamekualika kweli????

Siyo ya Chamwino tu hata ya MAGOGONI alijenga yeye.
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu. Hivi mama Janeth wamekualika kweli?
Kama hajatajwa mtaje wewe
 
Watanzania,
Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO.

Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi mnatuonaje wengine, yaliwashinda wengine wote, chuma kikaamua na leo imetimia rasmi,
Jiwe la msingi la UJENZI ameweka Magufuli, kwanini asitajwe?

Shauri yenu atawatokea humo na mtakimbia. Hata msipomtaja tutamtaja kwenye platform zingine. Aibu yenu wote mnaofanya uhujumu huu.😭 Hivi mama Janeth wamekualika kweli?


Hahahaaa

Rest well mwamba John Pombe Magufuli. Ulifanya kazi papa, tusiposema wanyama watongea

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
 
Back
Top Bottom