nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
..yametokana na tume na vyombo vya dola...jibu unalo...alafu kumbuka hoja kuu hapa ni jinsi JPM alivyoingia madarakani...na utawala wake...naona unakiri figisu zilizomwingiza JPM madarakani kwa kuleta hoja ya 2/3 ya wa bunge....na majority zaidi 2/3 bungen yametoka wapi