Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
tukikuwekea kura halali walizopata wapinzani kwenye majimbo lukuki waliyodhulumiwa utakuwa tayari kurekebisha hizo % ulizoweka hapa ?Tafiti zako labda zitakubalika kwa Wanachadema wenzako tu lkn hakuna mtu mwenye akili Dunia hii anayeweza kukubalia kutokana na huu ukweli ufuatao; ukawa (Muungano wa vyama vyote) umepata Wabunge chini ya 80 wakati CCM imeshindwa Wabunge zaidi ya 200, Raisi wa JMTZ (CCM) amemshinda mpinzani wake wa ukawa kwa tofauti ya karibia asilimia 20 (20%) ya kura zote zilizopigwa hii ni tofauti kubwa sana kwa kiwango chochote kile kinachotumiwa na binadamu kwanza ingekuwa Vyama vya Kidemokrasia Viongozi wote wa ukawa walipaswa wajiuzulu kwani wameshindwa kabisa, chaguzi za Serikali za Mitaa ndiyo wala usiseme!
Kumbuka kwamba nimeongelea kuhusu ukawa na wala siyo chama kimoja kimoja, kama tukichukua kwa mfano chadema peke yake hali inakuwa mbaya zaidi!