Magufuli ndani ya Jimbo la Karatu

Magufuli ndani ya Jimbo la Karatu

bato

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
3,960
Reaction score
3,474
Leo ni siku muhimu kwa wana-Karatu kumsikiliza mgombea wa CCM,Mh JP Magufuli atakapohutubia hapa mjini muda wa mchana kuanzia saa 8. Mwishoni mwa wiki iliyoisha mgombea wa CDM aliwapigisha jua na vumbi wananchi wa Karatu baada kutangaziwa kuwa atatua hapa,lakini hakutokea kwa kushindwa kukamilisha ratiba aliyopangiwa. Mbowe angebanwa awaeleze alikompeleka Dr Slaa.
Leo wananchi wanajiuliza kama huyu wa CCM naye atatiza ahadi yake ya kuongea nao. Karatu ni sehemu ambayo wenyeji wako makini na miadi,hawapendi kudanganywa wala kudharauliwa. Ni vigumu kusoma upepo wa kisiasa hadi dakika za mwisho. Maandalizi yanaendelea uwanja utakaotumika kwa shughuli hiyo.
 
umeiandika kiushabiki sana,imeonesha dhahiri unatumika na Lumumba,ila mwaka huu hamtobozi ni shida,tumechoka sera na viburi vya kulewa madaraka,ccm ni ile ile,hawana jipya,kumsikiliza magufuli ni sawa na kupoteza muda tu,maana wamekuwa wakiahidi na kuongea mambo yale yale ambayo wameshindwa kuyatekeleza,kibaya zaidi watu wale wale mizigo leo wameteuliwa kuwa wakuu wa wilaya,hii ni shame kwa nchi ambayo uchumi umestaginate no growth at all,since 2005 our growth was 7 % ten years later is the same 7% or less,so what is the hurry to appoint new staff while you are not producing enough?leo tuko kwenye giza(mgao wa umeme kwa mwezi sasa)badala ya kufikiria utawasaidiaje watu kuachana na umasikini unaenda kuteua ma-dc?kweli hii ni shame kwa nchi maana vijana wengi wamejiajiri kwenye saluni na ujasiriamalimwingine wanahitaji umeme
 
umeiandika kiushabiki sana,imeonesha dhahiri unatumika na Lumumba,ila mwaka huu hamtobozi ni shida,tumechoka sera na viburi vya kulewa madaraka,ccm ni ile ile,hawana jipya,kumsikiliza magufuli ni sawa na kupoteza muda tu,maana wamekuwa wakiahidi na kuongea mambo yale yale ambayo wameshindwa kuyatekeleza,kibaya zaidi watu wale wale mizigo leo wameteuliwa kuwa wakuu wa wilaya,hii ni shame kwa nchi ambayo uchumi umestaginate no growth at all,since 2005 our growth was 7 % ten years later is the same 7% or less,so what is the hurry to appoint new staff while you are not producing enough?leo tuko kwenye giza(mgao wa umeme kwa mwezi sasa)badala ya kufikiria utawasaidiaje watu kuachana na umasikini unaenda kuteua ma-dc?kweli hii ni shame kwa nchi maana vijana wengi wamejiajiri kwenye saluni na ujasiriamalimwingine wanahitaji umeme

Kwanini mnakalili jambo
 
Kusema Kweli Hapa Kura Ya Urais Nampa Magufuli, Lakin Ubunge Kawambwa Simpi,
 
Hahahahaha,jamaa aliishia mto wa mbu??
Wenyewe wamempangia mikutano mingi bila kuzingatia uwezo wake. Eti waandaliwe watu wa kuzimia ili aahirishe mkutano,wananchi wakashtukia usanii.
 
Sikutegemea kuiunga ccm mkono....ila kwa yaliyotokea ukawa ni bora magufuli ashinde tu kwenye urais
 
Urais si kwa mwingine bali ni Dr Magufuli...ubunge ni CCM n.k kwakuwa UKIWA wameamua wawachukue waganga wa kienyeji walioipinga katiba kwa nguvu zote....UKIWA sio tena wanatetea maslahi ya katiba mpya ila matumbo yao..
 
Back
Top Bottom