Magufuli, Nchimbi na Madabida raha tupu

Magufuli, Nchimbi na Madabida raha tupu

incorruptible

Member
Joined
Apr 19, 2014
Posts
62
Reaction score
46
DSC_7323.JPG
DSC_7326.JPG
DSC_7252.JPG
 
magufuli hajaja kwa bahati mbaya wale mnaozani magufuli ni wa bahati mbaya mnachekesha wanaojua taifa linamtaka nani na ni nani mtu sahihi wa kuongoza taifa hili ndo wanajua magufuli alivyopatikana, wale wanaozaliwa na mitadao ya tamaa za ikulu hamtaelewa adi mwisho,
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,
 
Rahatupu mmhh, mimi yangu masikio. Ni aheri walioondoka kuliko adui aliyeko ndani.
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,

Mkuu unani vunja mbavu ah ah ah ah.
 
Ndani ya CCM kwa sasa huwezi kujua nani adui na nani rafiki wa kweli. Unacheka nae kumbe yupo timu Lowassa, siasa za mwaka huu hadi raha.
 
raha ndiyo nini hapo wakati magufuli analazimisha picha!!
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,
Hao wasomi wa nchi hii ni asilimia ngapi ya watz mpaka wapewe kipaumbele kiasi kwamba kwenye list yako sie tulioishia darasa la 7A tusiwe included kwenye list yako mkuu
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,

hilo ndio kosa la ccm, wakulima, ndio maana mama ntile, wenye boda boda hawapo tena ccm, walishasoma nyakati
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,
mwambie akipige lecture ili akutane na hao wasomi
 
magufuli hajaja kwa bahati mbaya wale mnaozani magufuli ni wa bahati mbaya mnachekesha wanaojua taifa linamtaka nani na ni nani mtu sahihi wa kuongoza taifa hili ndo wanajua magufuli alivyopatikana, wale wanaozaliwa na mitadao ya tamaa za ikulu hamtaelewa adi mwisho,
Mkuu weka akiba ya maneno siku 65 sio nyingi!
 
magufuli ndo rais kwa viwango vinavyokubalika ambaye anaweza kuwa
1,rais wa taifa la wasomi kama hili na kuliwakilisha kwa viwaongo sahihi
2,rais ambaye anaweza kuongea na wasomi wakamuelewa na wakaelewa anachokieleza
3,rais ambaye anaweza kuwa kuhutubia mikutano ya kitaifa na kimataifa
4,rais ambaye anaweza kuongea na dunia ikamuelewa,
5, akawa rais wa marais wa afrika kwenye mikutano ya kimataifa na akaongea na dunia ikamuelewa,

Tunataka rais wa watanzania ambaye atatuletea maendeleo kwa rasilimali zetu. Hatuhitaji rais kiruka njia eti majukwaa ya kimataifa. Jk na majukwaa yake ametupa kama siyo katuacha masikizi zaidi ya alivyotuacha Nyerere
 
Magufuli ana wakati mgumu sana kuliko wagombea wote wa ccm walio wahi kugombea urais. Anaitaji joto kama hilo la kina chimbi, madabida na kina kimbisa. Tuzidi kumuombea apate nguvu ya mwili na akili
 
JPM kutokana na kutotambulikana sana kwenye CCM hapo ndiyo anaanza kutambuana na watu inawezekana hamfahamu Madabida. Yeye alikuwa busy na madaraja, vivuko na mabarabara.
 
mwisho wa siku atapelekea mama ntilie laptop ... washapoteza

Hizo laptop kwa walimu zenyewe sijui itakuwaje maana gharama za mafunzo tu zitakuwa nusu ya hizo computer maana ni wachache wanafahamu matumizi ya computer, perdiem kwa waalimu maana mafunzo inabidi yafanyanyike makao makuu ya wilaya ambapo kuna umeme
 
Back
Top Bottom