Magufuli na Tanzania mpya

MWAKATA KWETU

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
562
319
Kuna mambo mengi sana ya kujifunza juu ya uongozi wa Raisi wa Tanzania John Joseph Pombe Magufuli,ni viongozi wachache sana Duniani walishawahi kujitokeza na kufanya kwa vitendo mambo ambayo waliyaahidi kipindi cha kampeni.Hakika huyu kiongozi ni
mfano wa kuigwa na viongozi wengine wanatakiwa wafate nyayo zake ,hebu tuone ni mambo gani anayafanya Raisi ambayo ni ufunguo wa Maendeleo katika Taifa lolote lile duniani;

1:Miundo mbinu;
Taifa lolote lile ili liweze kukua katika uchumi
ni razima,lijenge barabara imara ambazo zitachochea katika ukuaji wa uchumi kwa nchi na watu wake

Ujenzi wa Viwanja vya ndege na uimarishaji wa biashara ya anga kama vile import and export of goods,raw material n.k,hii ina influence kukua kwa uchumi wa nchi husika.

Ujenzi wa bandari
Nchi ikiwa na bandari bora,, hii inasaidia Meli kubwa kutia nanga na kushusha mizigo mikubwa bandarini..

Ujenzi wa reli
Pia inasaidia kusafirisha mizigo kwa be nafuu sana ambapo wananchi inawasaidia kumdu bei ya bidhaa.

Uboreshaji wa Afya
Hospitali,Vituo vya Afya na Dispensary vimejengwa kwa kasi kubwa nchini tangia uhuru...ingawa bado kuna shida katika utoaji wa huduma upande wa dawa ..budget kubwa inatumika katika ujenzi wa Hospitali,Vituo vya Afya,hivyo serkali inatakiwa kuongeza nguvu katika Dawa.

Uboreshaji wa Sekta ya Elimu

Raisi alifuta ada mashuleni ili kuwapa nafasi watanzania kusoma kwa wingi..
Pia amepunguza maandamano kwa wanafunzi vyuo vikuu kwasababu anatoa mkopo kwa muda mwafaka.

Hayo ni baadhi ya mambo mengi mazuri anayoyafanya huyu Raisi,siwezi kuyasema yote kama vile Nidhamu kwa watumishi wa umma.

Wapo wanaobeza,,hatuwezi kuwazuia wasipinge kwani ndio binaadam tulivyoumbiwa.
Ni asili ya binadamu kujiona yeye ni bora kuliko mwenzie..hivyo tuwapuuze wanaobeza,,,wanaotukana,,

Wanaokejeri kwani Nchi huwezi ijenga kwa kuongea sana bali ni kufanya kazi kwa bidii
 
Namba ya simu?
Kuna mambo mengi sana ya kujifunza juu ya uongozi wa Raisi wa Tanzania John Joseph Pombe Magufuli,ni viongozi wachache sana Duniani walishawahi kujitokeza na kufanya kwa vitendo mambo ambayo waliyaahidi kipindi cha kampeni.Hakika huyu kiongozi ni
mfano wa kuigwa na viongozi wengine wanatakiwa wafate nyayo zake ,hebu tuone ni mambo gani anayafanya Raisi ambayo ni ufunguo wa Maendeleo katika Taifa lolote lile duniani;
1:Miundo mbinu;
Taifa lolote lile ili liweze kukua katika uchumi
ni razima,lijenge barabara imara ambazo zitachochea katika ukuaji wa uchumi kwa nchi na watu wake
Ujenzi wa Viwanja vya ndege na uimarishaji wa biashara ya anga kama vile import and export of goods,raw material n.k,hii ina influence kukua kwa uchumi wa nchi husika.

Ujenzi wa bandari
Nchi ikiwa na bandari bora,, hii inasaidia Meli kubwa kutia nanga na kushusha mizigo mikubwa bandarini..

Ujenzi wa reli
Pia inasaidia kusafirisha mizigo kwa be nafuu sana ambapo wananchi inawasaidia kumdu bei ya bidhaa.

Uboreshaji wa Afya
Hospitali,Vituo vya Afya na Dispensary vimejengwa kwa kasi kubwa nchini tangia uhuru...ingawa bado kuna shida katika utoaji
wa huduma upande wa dawa ..budget kubwa inatumika katika ujenzi wa Hospitali,Vituo vya Afya,hivyo serkali inatakiwa kuongeza nguvu katika Dawa.

Uboreshaji wa Sekta ya Elimu

Raisi alifuta ada mashuleni ili kuwapa nafasi watanzania kusoma kwa wingi..
Pia amepunguza maandamano kwa wanafunzi vyuo vikuu kwasababu anatoa mkopo kwa muda mwafaka.

Hayo ni baadhi ya mambo mengi mazuri anayoyafanya huyu Raisi,siwezi kuyasema yote kama vile Nidhamu kwa watumishi wa umma.
Wapo wanaobeza,,hatuwezi kuwazuia wasipinge kwani ndio binaadam tulivyoumbiwa.
Ni asili ya binadamu kujiona yeye ni bora kuliko mwenzie..hivyo tuwapuuze wanaobeza,,,wanaotukana,,wanaokejeri kwani Nchi huwezi ijenga kwa kuongea sana bali ni kufanya kazi kwa bidii
 
Ni kipi kwenye kampeni aliahidi na amekitekeleza.
Ile milioni 50 kila kijiji amesema mlimnukuu vibaya na ile ishu ya katiba mpya juzi hapa kasema sio kipaumbele chao kwa sasa
 
Niongezee
1. Kuwanyanyasa wananchi wake kwa kivuli cha hapa ni kazi tu.

2. Kuwa na vituko kama kinyonga.

3. Kujiplaud ili kuonekana anawapenda watanzania.

4. Kufokafoka kila mahali ili watu waogope.

5. Watu kupiga mahela kuliko wamu zote.

6. Mpaka hela za kubrashi viatu inatoka kwa huyo wanaemwita mnyonge.

7. Ufetuaji umeongezeka mara dufu kwa sababu hawana kazi ya kufanya au fedha hakuna. Hapa bodaboda hoyeeeee!!!!

8. Chuki, ubaguzi na ukatili wa raia umeongezeka. Ule utanzania umeondoka.

9. Mabakuli kuendelea kutembezwa UN na Marekani wakati Tramp katumiwa salamu Tanzania inauwezo wa kumaliza matatizo. Ile clip ya maji ya jana ya akina mama wanapigana kwenye chanzo cha maji ilinisikitisha sana na fimbo zao kama wanaua nyoka jamani. Inawezekana ilifika hata kwa Tramp.

10. Ajira kwa vijana nimefanikiwa 105%.

11. Nimetekeleza maadui wale watatu alioacha Mwl kwa 102% ambayo ni (umasikini) maradhi, malazi na mlo.

12. Wapumbavu, Vilaza, wanafiki, waongo na mashetani kuzalishwa kwa wingi. Awamu hii ina mambo ??????

Endeleeni na nyinyi nimechoka.
 
Back
Top Bottom