Magufuli na maamuzi yake

hapana Magufuli hakukamata ile Meli ila ilikamatwa na Maafisa uvuvi wa kikosi cha doria kanda ya Dar es salaam, nikiwa Dar nilifatilia kiasi hili sakata, kinachoonekana ni kua wale maafisa uvuvi waliishika ile meli kama sheria ya nchi kupitia fisheries act nafikiri ya mwaka 2007 inavyoagiza, sasa Magufuli yeye ni msimamizi mkuu wa shughuli za Wizara hiyo,......rejea majukumu ya waziri kwa wizara.
baada ya maafisa Uvuvi kukamata meli hiyo wakishirikiana na police na NAVY NA KIKOSI CHA Askari wa doria cha SADC sasa baada ya kukatwa wale waharifu swala linabaki kua la wizara ya sheria na Ofisi ya DPP.
Tatizo ni lilelile Je DPP anatimiza wajibu wake, je wizara ya Sheria na katiba imetimiza wajibu wake.?
kaka nimekusoma.....kazi nzuri sana
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!
\

watanzania tunamatatizo tukipata mtu ambaye anafata sheria ,anataka sheria ifatwe kwa serikali na wananchi sisi tunapiga kelele ,tumeongozwa nawtu ambao ni wapole tunapiga kelele mungu atupe nini?
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!


upo Mangi?
 
watu wanakurupuka katika suala la meli,kwa mujibu wa katiba yetu hakuna mahali ambapo waziri anawajibika kushitaki wanye wajibu wa kushita ni ofisi ya DPP,na wizara ya sheria,
na nakumbuka alipoulizwa na waandishi wa habali juu ya suala hili aliwapa majibu mepesi kuwa wakasome sheria il wajue maana yeye hakuna anapotakiwa kushitaki na wenye wajibu huo wapo,
so atawapa majibu wenye shauku ya kujua hayo.
 
naona unataka kuleta mambo ya kuuza ng'ombe ili utatue kesi ya kuku.kwa mtazamo finyu unaweza ukaona gharama za kuhifadhi hao samaki ni kubwa saaana lakini huangalii thamani ya samaki wetu wanaovuliwa kinyume cha sheria na maharamia-bahari kwa miaka mingi sasa.hao samaki ni kidhibiti katika kesi inayoendelea dhidi ya maharamia waliokamatwa na meli ile ya uvuvi.
unapotaka wauzwe au wagawanywe kwa watu bure unamaanisha ni kuondoa kidhibiti ambacho ndio kigezo cha kutoa hukumu.
acha wahifadhiwe ili mwisho wa siku haki itendeke kwani kwa mujibu wa mahufuli,kiwango cha wizi wa rasilimali zetu, ni kikubwa kiasi cha kutisha kiasi kwamba kama tungekuwa tunalipwa na hawa maharamia-bahari basi sector ya uvuvi pekee ingetosha kutukwamua kiuchumi

mkuu watu wanaendekeza siasa badara ya mambo ya kitaifa kitu ambacho kinasumbua taifa letu, watu hawaelewi nini maana ya taifa na saisa ,wamejazwa siasa kwanza taifa baadae,tubadilike.
 
Kwa hapa tulipofika hata atokee malaika wa namna gani so long as yupo ndani ya CCM amelelewa na CCM amefikishwa hapo alipo na CCM na viongozi wa CCM ni kama miungu yake nothing will change....!
 
Kwa hapa tulipofika hata atokee malaika wa namna gani so long as yupo ndani ya CCM amelelewa na CCM amefikishwa hapo alipo na CCM na viongozi wa CCM ni kama miungu yake nothing will change....!

hapo umeongea. with ccm hakuna kitu. watz hatudanganyiki. huu ni mda wa mabadiliko na mabadiliko ni lazima
 
Magufuli ni jembe kila mtu anajua.Hata kama ana mapungufu yake...basi ni yakawaida tu ya kibinadamu.Tausi mzuri haitaji mapambo kazi yake ni rekodi tosha ya kumjenga.UKAWA wajipange vizuri vinginevyo naona giza upande wao hasa katika nafasi ya urais.
 
Si vyema sana kuanza kumshutumu Rais wetu mtarajiwa kwa makosa yaliyotokea kiutendaji. Tumlaumu kama alifanya makosa kwa uzembe. Ni zaidi ya miaka mitano sasa tangu Magufuli akamate meli ya uvuvi, wataalamu wetu wa mambo ya sheria wako wapi, kwa nini hawampi ushauri ambao utaiepushia nchi kuingia katika hasara, kwani kazi yao ni nini. Hivyo hivyo na fidia kule Mwanza, wana sheria wa serikali walikuwa wapi, kwa nini hawakumpa ushauri. Kuna wakati tuliambiwa serikali inapoteza sh bilioni 40 kila mwezi kutokana na mishahara hewa. Wataalamu wa sheria wapo, wamechukua hatua gani. Sh bilioni 40 kwa mwezi ni sawa sawa na bilioni 480 kwa mwaka, wanangoja hadi waziri mhusika atakapo tangaza nia ya kugombea Urais ndipo waibuke na kuaanza kulaumu. Mimi nadhani tumpe muda Magufuli atekeleze yale anayoyaamini kwa manufaa ya nchi yetu. Tumpe miaka mitano, akishindwa tumuondoe kwa kura.
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!

Kawa mgombea.may be anaweza kuwa President
 
Si vyema sana kuanza kumshutumu Rais wetu mtarajiwa kwa makosa yaliyotokea kiutendaji. Tumlaumu kama alifanya makosa kwa uzembe. Ni zaidi ya miaka mitano sasa tangu Magufuli akamate meli ya uvuvi, wataalamu wetu wa mambo ya sheria wako wapi, kwa nini hawampi ushauri ambao utaiepushia nchi kuingia katika hasara, kwani kazi yao ni nini. Hivyo hivyo na fidia kule Mwanza, wana sheria wa serikali walikuwa wapi, kwa nini hawakumpa ushauri. Kuna wakati tuliambiwa serikali inapoteza sh bilioni 40 kila mwezi kutokana na mishahara hewa. Wataalamu wa sheria wapo, wamechukua hatua gani. Sh bilioni 40 kwa mwezi ni sawa sawa na bilioni 480 kwa mwaka, wanangoja hadi waziri mhusika atakapo tangaza nia ya kugombea Urais ndipo waibuke na kuaanza kulaumu. Mimi nadhani tumpe muda Magufuli atekeleze yale anayoyaamini kwa manufaa ya nchi yetu. Tumpe miaka mitano, akishindwa tumuondoe kwa kura.
\
Niulize tu hivi SHIDA YETU HASA NI NINI?... ni mtu au ni system iliyojengwa na CCM?...kama ni mtu basi we may be having a point in appreciating bwana Magufuli, otherwise HAKUNA JIPYA NINALOTEGEMEA KUTOKA KWA YEYOTE FROM CCM kwa style walivoonesha pale dodoma Hawa jamaa wanajuana na ni wamoja watalindana kufa na kupona
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!
President he is, unaonaje maamuzi yake?
 
Mimi binafsi si muoni Magufuli kama ni mtu ambaye anaweza kufanyakazi as a team, he is very selfish and arrogant.
Ninaweka maelezo haya katika kiwango cha kawaida kueleweka. Katika muda ambao nimepata kumfahamu, the guy is not real. He's a politician kama walivyo wengine, right now he is maintaining low profile kwa sababu za kisiasa.
Kama ulivyosema juu ya nyumba za serikali, yeye na kundi lake walibuni uuzaji wa nyumba za serikali ili kutimiza matakwa ya ubinafsi (selfishness)
Na pale wananchi walipokuwa wanalalamika aliwaeleza kuwa nyumba za serikali zitaendelea kuuzwa na hatositisha zoezi hilo (arrogancy). Matokeo yake serikali kuingia gharama zisizo za lazima kuwapatia watendaji wengine makazi
Kitendo cha kudharau mamlaka zingine na kuamuru kituo cha mafuta kivunjwe (arrogancy).
Kumbe hizi lawama kuwa ni Mbinafsi na hataki ushauri hazijaanza leo?

IMENISHANGAZA
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!
 
Back
Top Bottom