Magufuli na cheap Politics, usanii tu

Magufuli na cheap Politics, usanii tu

Immahay

Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
22
Reaction score
11
Magufuli ni msanii tu na hana kazi za kufanya wala haonyeshi kuwa anaumizwa na jambo lolote linalomsukuma kuutaka urais. Yani ni mtu anayechululia urais kama post tu yoyote katika baraza la Mawaziri.

Hajajiandaa. Hajaandaliwa!!!

Mtu makini atapandaje ngazi wakati kuna lift .. Yan ili iweje?

Magufuli ni comedy tu. Kama ni mazoezi wenzake wana tread mills nyumbani yeye anaparamia mingazi na kunuka kwapa. Kupoteza muda kijinga na urugaruga tu!!

Sio presidential material kabisa!!
 
Injinia alikua anatest Ngazi ka ziko sawasawa... Washauri wake hawaoni haja ya kumuandaa... Kwa upinzani upi!? Watafanya vilevile ka miaka iliyopita
 
Ameambiwa kuwa Watanzania mnapenda umaskini, mnapenda shida. Ndio maana mnataka maskini mwenzenu. Mambo ya kujali muda sio utamaduni wake, ndio maana hakuna hata barabara moja aliyoisimamia ikaisha kwa wakati.

Ndio maana hajawahi kuongelea mgao wa umeme na wala hajui kama tuna mgao wa umeme
 
Injinia alikua anatest Ngazi ka ziko sawasawa... Washauri wake hawaoni haja ya kumuandaa... Kwa upinzani upi!? Watafanya vilevile ka miaka iliyopita

huko kwenu ndivyo huwa anawaambia yeye ni injinia?
 
Alichaguliwa kwa bahati mbaya..hana visiOn wa mission ya kwakwe..hana falsafa..anamfuata kikwete kama likondoo na kusema sitawaangusha..magufuli will make tanzania worse..unga wa ugali ungefika 6000 kilo ka angechaguliwa..watanzania mambo ya kanga na ubwabwa tuache safari hii hamna kuangalia mtu usoni
 
Magufuli ni msanii tu na hana kazi za kufanya wala haonyeshi kuwa anaumizwa na jambo lolote linalomsukuma kuutaka urais. Yani ni mtu anayechululia urais kama post tu yoyote katika baraza la Mawaziri.

Hajajiandaa. Hajaandaliwa!!!

Mtu makini atapandaje ngazi wakati kuna lift .. Yan ili iweje?

Magufuli ni comedy tu. Kama ni mazoezi wenzake wana tread mills nyumbani yeye anaparamia mingazi na kunuka kwapa. Kupoteza muda kijinga na urugaruga tu!!

Sio presidential material kabisa!!

Jitahidi mawazo mengine muwe mnakaa nayo tu vichwani,wewe ni mtu unaemuamini mtu aliye mahili wa kujieleza na ahadi nyingi,waache watakaomuamini mtu asiyejua kujieleza pia.hujawajua watoa ahadi na maneno mengi hua wanaishia wapi,we subili siku ya kupiga kura nenda kampigie unaemwamini wewe!
 
Tunataka mwenye nacho anayechukia umasikini, umasikini ni zambi kwani ukiwa maskini sana roho mbaya ya tukose wote haiishi, utakuwa wa kunungununika kila mara , bora ufalme wa hapa hapa mbinguni uenda ni gresha. Kitendo cha magufuri kutuletea meli kmbovu amezidisha umaskini kuliko wa richmond wafu wanazidiana kunuka angalau richmond umeme tunauona kuliko ya mkwele na iptl iliyozaa escrow, kuliko ki
 
Hana lolote mpe kukariri tu reasoning yake iko chini sana! Hawezi soma masomo kama philosophy au sheria huyu...!
 
Magufuli ni msanii tu na hana kazi za kufanya wala haonyeshi kuwa anaumizwa na jambo lolote linalomsukuma kuutaka urais. Yani ni mtu anayechululia urais kama post tu yoyote katika baraza la Mawaziri.

Hajajiandaa. Hajaandaliwa!!!

Mtu makini atapandaje ngazi wakati kuna lift .. Yan ili iweje?

Magufuli ni comedy tu. Kama ni mazoezi wenzake wana tread mills nyumbani yeye anaparamia mingazi na kunuka kwapa. Kupoteza muda kijinga na urugaruga tu!!

Sio presidential material kabisa!!

Hivi Magufuli na Lowassa nani msanii? Lowassa ni msanii na kasomea sanaa. Magufuli ni mkemia. Sijui kama unaelewa haya ninayoyaandika kwa sababu sijui level ya elimu yako.

Ndugu yangu, Lowassa ni presidential material kwa hali aliyonayoo?
 
tatizo la watanzania hawaangalii yupi bora skuzote wanajua kuponda tu sidhani kama kuna mtu angevaa uhalisia wa magufuli angeweza pata hta nguvu ya kusimama na kutetea nchi .......mabadiliko huja polepole au mnataka leo kwa kesho??? hata mungu mwenyewe majibu huchelewesha majibu! sijaona big deal kuhusu kupanda ngazi ni kitu cha kawaida infact angalia kile anachotaka kukupa mambo ya kunuka kikwapa haihusiani chochote ...we sikiliza sera ...tukianza tafuta nani mchawi sizani kama tutapana raisi ....maana hata nikikmchukua hapa lowassa na magufuli ....kwenye ufisadi ...mamvi nahisi ni nambari moja kwa kashfa ....zindukeni acheni kufwata mikumbo.....
 
Magufuli ni msanii tu na hana kazi za kufanya wala haonyeshi kuwa anaumizwa na jambo lolote linalomsukuma kuutaka urais. Yani ni mtu anayechululia urais kama post tu yoyote katika baraza la Mawaziri.

Hajajiandaa. Hajaandaliwa!!!

Mtu makini atapandaje ngazi wakati kuna lift .. Yan ili iweje?

Magufuli ni comedy tu. Kama ni mazoezi wenzake wana tread mills nyumbani yeye anaparamia mingazi na kunuka kwapa. Kupoteza muda kijinga na urugaruga tu!!

Sio presidential material kabisa!!
Comedy ni sehemu ya campaign machinery ndio maana CCM imeakodi hadi Ze Comedy, lengo la mtu kupanda ngazi badala ya kutumia lift ni kuonyesha tuu bodly strength!, ila miongoni ma sifa za rais sio bodly streghth kwa sababu hatutafuti rais mbeba chuma!.

Katika kuelekea kufanya kampeni za kistaarabu, pia sisi wana jf, tunawajibika kuwa wakeli daima, Magufuli ni presidential material, and can make a better president than Loassa, tatizo yuko chama cha mashetani!. Hata leo ukimchukua malaika, ukamleta kwa mashetani, atageuka shetani!, na aliyekua shetani, akiachana na ushetani na kujiunga na kundi la malaika, anageuka malaika!.

Tusibeze vitu ambavyo ni fact na sio kujiplease kwa kusema vitu tuu ili kujifurahisha, huku hakutamsaidia yoyote zaidi ya kutuletea tuu majanga!.

Pasco
 
Back
Top Bottom