Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Magufuli na CCM yake na vibaraka wao wa Lumumba buku 7 wanaendelea kuchukua madaraka ya nchi hii kutokana na ujinga wa Watanzania.
Hizo porojo za CCM na Watanzania wajinga kwamba nchi haijaribiwi ni upumbavu na ujinga uliotukuka, CCM imekaa madarakani zaidi ya miaka 60 lakini Bado shida ni zile zile.
Magufuli na CCM yake anapiga porojo kuhusu barabara ambazo sio zinaunganisha nchi au wilaya au mkoa bali zinaunganisha mtaa na mtaa, Magufuli ndani ya utawala wake hakuna barabara yoyote iliyounganisha mkoa na mkoa zote kazikuta na kawadanganya watanzania na ujinga wao eti yeye ndo kafanya juhudi kuzijenga,muongo mkubwa sana huyu John.
Leo baada ya kusomba Wanafunzi na wanakijiji wa Mwakarundi, Isela na mwingineko na kuwajaza pale Kirumba kaanza kuwadanganya kuhusu uwanja wa ndege wa mwanza et kaupanua toka km 2.5 mpaka 3.5 huyu Magufuli muongo mno tangu zamani uwanja wa ndege wa Mwanza run away yake ni ndefu kuliko ya Dar aache porojo na uongo uongo huyu jamaa.
CCM mmetumia ujinga wa Watanzania muda mrefu na mnaendelea kuwadanganya uchumi wa atki na mengine sijui reli, Mara ndege sijui uwanja wa ndege.
Ila Magufuli ni moja ya marais dikteta, mnafiki na hajiamini, miaka 5 kafanya kampeni peke yake, wanaCCM wenzake wakatamba 2020 hakuna haja ya kufanya kampeni Magufuli anatosha Sasa ya nini kuhangaika kufanya kampeni kama mnakubalika?
Ndugu Watanzania wenzangu CCM imeshagundua Watanzania wengi ni wajinga na wanatumia mwanya huo kuzidi kutudanganya.
Tuwakatae hawa watu hwatufai. Magufuli hatufai tena.
Hizo porojo za CCM na Watanzania wajinga kwamba nchi haijaribiwi ni upumbavu na ujinga uliotukuka, CCM imekaa madarakani zaidi ya miaka 60 lakini Bado shida ni zile zile.
Magufuli na CCM yake anapiga porojo kuhusu barabara ambazo sio zinaunganisha nchi au wilaya au mkoa bali zinaunganisha mtaa na mtaa, Magufuli ndani ya utawala wake hakuna barabara yoyote iliyounganisha mkoa na mkoa zote kazikuta na kawadanganya watanzania na ujinga wao eti yeye ndo kafanya juhudi kuzijenga,muongo mkubwa sana huyu John.
Leo baada ya kusomba Wanafunzi na wanakijiji wa Mwakarundi, Isela na mwingineko na kuwajaza pale Kirumba kaanza kuwadanganya kuhusu uwanja wa ndege wa mwanza et kaupanua toka km 2.5 mpaka 3.5 huyu Magufuli muongo mno tangu zamani uwanja wa ndege wa Mwanza run away yake ni ndefu kuliko ya Dar aache porojo na uongo uongo huyu jamaa.
CCM mmetumia ujinga wa Watanzania muda mrefu na mnaendelea kuwadanganya uchumi wa atki na mengine sijui reli, Mara ndege sijui uwanja wa ndege.
Ila Magufuli ni moja ya marais dikteta, mnafiki na hajiamini, miaka 5 kafanya kampeni peke yake, wanaCCM wenzake wakatamba 2020 hakuna haja ya kufanya kampeni Magufuli anatosha Sasa ya nini kuhangaika kufanya kampeni kama mnakubalika?
Ndugu Watanzania wenzangu CCM imeshagundua Watanzania wengi ni wajinga na wanatumia mwanya huo kuzidi kutudanganya.
Tuwakatae hawa watu hwatufai. Magufuli hatufai tena.