Mkuu mheshimiwa rais magufuli
Mungu akubariki kwani kazi yako haina wakulinganisha naye labda hayati Nyerere.
Najidai kuwa mtanzania kwasababu yako mheshiwa rais wangu.
Mungu akubariki sana ndoto zako ziko sawa na zinatisha kwani zinakamilika ndani ya muda mfupi katika nchi yetu.
Kila la heri mkuu.
Mungu akubariki kwani kazi yako haina wakulinganisha naye labda hayati Nyerere.
Najidai kuwa mtanzania kwasababu yako mheshiwa rais wangu.
Mungu akubariki sana ndoto zako ziko sawa na zinatisha kwani zinakamilika ndani ya muda mfupi katika nchi yetu.
Kila la heri mkuu.