Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,012
- 3,683
Mh. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania akiwa Chato katika misa siku ya Jumapili ya nne ya Majilio kuelekea Krismas na mwaka mpya, atoa ujumbe wa kipekee kwa wana Chato na Watanzania na kuwatakia sikukuu ya Krismas njema na Mwaka Mpya wa mafanikio, kujenga umoja wetu Watanzania wote, uwe mwaka mpya wa upendo na amani kwa Watanzania wote.
Source: MCL Digital
Maigizo+++...+Mh. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania akiwa Chato katika misa siku ya Jumapili ya nne ya Majilio kuelekea Krismas na mwaka mpya, atoa ujumbe wa kipekee kwa wana Chato na Watanzania na kuwatakia sikukuu ya Krismas njema na Mwaka Mpya wa mafanikio, kujenga umoja wetu Watanzania wote, uwe mwaka mpya wa upendo na amani kwa Watanzania wote.
Source: MCL Digital
Huwezi kujenga umoja kama wasiojulikana wataendelea kuwepo na kupewa nguvu.
Huwezi kujenga umoja kama watu wataendelea kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.
Huwezi kujenga umoja kama watu wataendelea kutazamwa kikanda.
Huwezi kujenga umoja kama Polisi, mahakama na Bunge vitaendelea kutumika kama vyombo vya watu binafsi na CCM.
Huwezi kujenga umoja kama maDC na maRC wataendelea kuwaweka watu korokoroni kwa ubabe, uonevu na kukomoana.
Huwezi kujenga umoja kama utaendelea kuwaona wasio wanaCCM ni raia daraja la pili.
Huwezi kujenga umoja kama Polisi wataendelea kufanya kazi kama kikundi cha kigaidi. Kazi kubwa ya magaidi ni kujenga hofu. Leo polisi badala ya kuwakamata watuhumiwa, wanawateka watuhumiwa. Polisi wamebakia na kazi ya kuwaziba watu na kuwanyima watu haki zao za kikatiba.
Umoja wa kitaifa hauji kwa kauli bali kwa matendo. Mazuri mengi tuliyokuwa nayo zamani, yaliyokuwa yakilitambulisha Taifa letu yamevurugwa awamu hii. Kama hili limegundulika sasa, na kuna dhamira ya kuliondoa, ianze kufanyika kazi katika hayo niliyoyataja. Bila hivyo umoja wetu utaendelea kutetereka zaidi na zaidi, na uchaguzi wa mwakani utaongezea maradufu.
Naunga mkono hoja.
P
Mlaji ni mla leo, mla jana kala nini?.Angekuwa yule 'wewe' wa zamani ndio ningeshangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania akiwa Chato katika misa siku ya Jumapili ya nne ya Majilio kuelekea Krismas na mwaka mpya, atoa ujumbe wa kipekee kwa wana Chato na Watanzania na kuwatakia sikukuu ya Krismas njema na Mwaka Mpya wa mafanikio, kujenga umoja wetu Watanzania wote, uwe mwaka mpya wa upendo na amani kwa Watanzania wote.
Source: MCL Digital
Mh. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania akiwa Chato katika misa siku ya Jumapili ya nne ya Majilio kuelekea Krismas na mwaka mpya, atoa ujumbe wa kipekee kwa wana Chato na Watanzania na kuwatakia sikukuu ya Krismas njema na Mwaka Mpya wa mafanikio, kujenga umoja wetu Watanzania wote, uwe mwaka mpya wa upendo na amani kwa Watanzania wote.
Source: MCL Digital
Unga mkono wa mtu akapimwe akiliNaunga mkono hoja.
P
Wamesahau kuwa waliomba maridhiano!! Kazi ipo!! Hawa watu hawana shukrani.Penye nia, pana njia, maadam Mzee Baba ameonyesha nia, njia itapatikana.
P.
Hii haihusiki na maridhiano, ndani ya kanisa ulitegemea aseme nini! Hayo maneno yameishia humohumo ndani ya kanisa.Wamesahau kuwa waliomba maridhiano!! Kazi ipo!! Hawa watu hawana shukrani.
Queen Esther