Mchukuu wa Mangi
Member
- Sep 21, 2013
- 27
- 23
Kwa wakazi wa Dar, tuliaminishwa sana kuwa mpaka utawala wa awamu ya nne unamaliza wake tutakuwa na flyovers ubungo na TAZARA, ni dhairi Magufuli ulitudanganya.
Umekuwa ukijisifia sana kuhusu mtandandao wa barabara zilizojengwa lakini nyingi ni za viwango duni mf. Kwenye mradi wa BRT upana wa zile barabara unatia shaka na pia tumeshuhudia barabara zilizojengwa zikianza kuharibika pindi zinapomalizika kujengwa.
Watanzania wa sasa si wa miaka ile, hatudanganywi tena. Tumeamua kufanya mabadiliko
Umekuwa ukijisifia sana kuhusu mtandandao wa barabara zilizojengwa lakini nyingi ni za viwango duni mf. Kwenye mradi wa BRT upana wa zile barabara unatia shaka na pia tumeshuhudia barabara zilizojengwa zikianza kuharibika pindi zinapomalizika kujengwa.
Watanzania wa sasa si wa miaka ile, hatudanganywi tena. Tumeamua kufanya mabadiliko