Sergeant Stonebridge
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 573
- 5,014
H
Ndugu,Hatimae leo itakuwa ni zamu ya Nyamongo na viunga vyake
Ndani ya wilaya ya Tarime!
Mafuguri hapo awali ilikuwa apite tu bila kuongea na wananchi wa Nyamongo
Ila
Ghafla ratiba imebadilishwa kuwa kuna umuhimu wa kuongea na wakazi wa hapa!
Hivyo atawasiri kuanzia asubuhi hii!
Ikumbukwe kuwa tangu juzi na Jana kulikuwa na ujio wa mwenge hapa Nyamongo na Jana uliekea Serengeti!
Tar 23 ya mwezi huu itakuwa ni zamu ya Lowasa kuongea na wakazi wa hapa Nyamongo, wilayani Tarime.
Guys, watanzania wenzangu, haya yote ni kheri!
Ila kubwa tukumbuke kuwa
Kuna maisha baada ya chaguzi!
Amani yetu ni ya muhimu zaidi! na utu wetu, utanzania wetu ni wa thamani kubwa mno! kuliko hata hivyo vyama vya siasa!
Kwa akili finyu unadhani kuzomea ni sifa au ushujaa kwenye jamii yenye fikra pevu.ccm na makufuli ni janga la taifa
wamewauwa wananchi wa nyamongo kwa miaka kibao sasa
unakumbuka majeneza yaliyotelekezwa njiani miaka ileeeeee, sitashangaa nikisikia ccm na makufuli yake wakizomewa huko nyamongo
Ubarikiwe zaidi.Mkuu najua wengi wetu kwa sasa tunatambua umuhimu wa amani baada ya kuona machafuko ktk nchi baadhi tena yakiwa yanatokea baada ya uchaguzi!
Sisi kamwe tusikubali nchi yetu ifike huko coz tunatambua thamani ya undugu wetu na utanzania wetu!
Frank Gotora, Wasalimie, Mama Frank, Mzee Philimon Kama Yupo Nyamongo, Maili, Nyang'anyi, Mwele Wangi, Marwa Ryoba, Kiribo, Mwita Kitutu, Wambura Keraryo
Hivi Magufuli anahubiri amani au anachochea mauaji na machafuko?Ndugu,
Umeongea maneno yaliyojaa hekima na Busara.
Kwa kutambua gharama ya amani yetu, utu wetu na Utanzania wetu ndiyo maana Magufuli amekuwa akihimiza amani, utu na mshikamano katika kila mkutano wake.
Kukosekana kwa amani ndiyo kifo cha CCM. CCM haiwezi kuruhusu hali hii itokee nchini.
Hatimae leo itakuwa ni zamu ya Nyamongo na viunga vyake
Ndani ya wilaya ya Tarime!
Mafuguri hapo awali ilikuwa apite tu bila kuongea na wananchi wa Nyamongo
Ila
Ghafla ratiba imebadilishwa kuwa kuna umuhimu wa kuongea na wakazi wa hapa!
Hivyo atawasiri kuanzia asubuhi hii!
Ikumbukwe kuwa tangu juzi na Jana kulikuwa na ujio wa mwenge hapa Nyamongo na Jana uliekea Serengeti!
Tar 23 ya mwezi huu itakuwa ni zamu ya Lowasa kuongea na wakazi wa hapa Nyamongo, wilayani Tarime.
Guys, watanzania wenzangu, haya yote ni kheri!
Ila kubwa tukumbuke kuwa
Kuna maisha baada ya chaguzi!
Amani yetu ni ya muhimu zaidi! na utu wetu, utanzania wetu ni wa thamani kubwa mno! kuliko hata hivyo vyama vya siasa!