mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
Ni wakati muhimu katika historian ya mgombea yeye kama ye ye hata akishindwa au akishinda bado anawajibika kuwa mpole na mkweli jukwaani, wanapaswa kuwa mnyenyekevu kwa wapiga kura, wanapaswa kuwa msikivu kwa kuomba aulizwe vijimaswali akate kiu ya wenye kiu ya kupata mtu muadilifu mkali lakn mpole kwao.
Marais wanaowania wanakuwa makinibwanapoongea hotuba zao. zile za Obama bado zinatumika hasa kipindi hki cha smartphone, video clip zitasambaa. ukiwa Rais msanii hujatulia, unakurupuka humpati mtu. watakaokuelewa hakika ni wachaçhe wengi wanakuona mwehu, au mwendawazimu.
Ukiwa rais unabeba heshima zote.
===============
Marais wanaowania wanakuwa makinibwanapoongea hotuba zao. zile za Obama bado zinatumika hasa kipindi hki cha smartphone, video clip zitasambaa. ukiwa Rais msanii hujatulia, unakurupuka humpati mtu. watakaokuelewa hakika ni wachaçhe wengi wanakuona mwehu, au mwendawazimu.
Ukiwa rais unabeba heshima zote.
===============
Wakati nchi inakwenda kufanya maamuzi ya msingi na ambayo yatajenga upya mustakabali wa nje yetu kwa miaka mitano ijayo, wengi wetu tumejikita kujadili hoja nyepesi sana na ambazo si kipaaumbele cha nchi kwa sasa!
Kweli Tanzania inahitaji 'push-ups' kututoa hapa tulipo? Kweli Tanzania inahitaji 'mafuriko ya watu kwenye mikutano ya siasa' kututoa hapa tulipo? Kweli Tanzania inahitaji 'siasa za maji' taka kututoa hapa tulipo?
Aliyetuloga kweli ametuweza, tumekuwa wajinga kiasi hiki kweli watanzania...? Shame on us Tanznaians!