Mtaka yote
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 136
- 103
Akusema Chenge ni Fisadi na hastahili kuwa mbunge basi CCM itashinda
Akusema Chenge ni Fisadi na hastahili kuwa mbunge basi CCM itashinda
Mwanangu Chenge sio fisadi ,mbona hajapelekwa mahakamani?
Kama MNA ushahidi pelekeni mahakamani lasivyo shut up!!
Alishapelekwa ndugu.
Chonde chonde Magufuli usimnadi CHENGE, TIBAIJUKA.
Utapoteza ma elfu ya kura. Nami ntakuhama.