Jana akiwa Mwanza viwanja vya Furahisha ameaihidi kujenga flying over.
Mimi najiuliza wana Mwanza kweli mnakubali na ahadi hizi?
Ki ukweli leo Dar es salaam hakuna cha fly over ndio kwanza juzi wamewekasaini ili kupata kura za dar zaidi ya miaka kumi toka Mkapa alipotoa matamshi then akaja JK nae alizungumzisa dar kujenga flyingover.
Msidanganyike wana Mwanza awa watu wana ahadi za kusadikika sana kama mtu umesoma kitabu cha kusadikika ndio ahadi za Magufuli.
Mimi najiuliza wana Mwanza kweli mnakubali na ahadi hizi?
Ki ukweli leo Dar es salaam hakuna cha fly over ndio kwanza juzi wamewekasaini ili kupata kura za dar zaidi ya miaka kumi toka Mkapa alipotoa matamshi then akaja JK nae alizungumzisa dar kujenga flyingover.
Msidanganyike wana Mwanza awa watu wana ahadi za kusadikika sana kama mtu umesoma kitabu cha kusadikika ndio ahadi za Magufuli.