Magufuli kujenga fly over Mwanza

Magufuli kujenga fly over Mwanza

jipange

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
209
Reaction score
44
Jana akiwa Mwanza viwanja vya Furahisha ameaihidi kujenga flying over.

Mimi najiuliza wana Mwanza kweli mnakubali na ahadi hizi?

Ki ukweli leo Dar es salaam hakuna cha fly over ndio kwanza juzi wamewekasaini ili kupata kura za dar zaidi ya miaka kumi toka Mkapa alipotoa matamshi then akaja JK nae alizungumzisa dar kujenga flyingover.

Msidanganyike wana Mwanza awa watu wana ahadi za kusadikika sana kama mtu umesoma kitabu cha kusadikika ndio ahadi za Magufuli.
 
Waliomsikiliza Jana wamechoka
Maana walisafirishwa kama michembe na udaga
 
Ahadi zake hazieleweki na ni za kukurupuka, kwa staili hii anaweza hata kuahidi kuwajengea watu mlima Kilimanjaro mpya au bahari ya hindi.
 
Ahadi zake hazieleweki na ni za kukurupuka, kwa staili hii anaweza hata kuahidi kuwajengea watu mlima Kilimanjaro mpya au bahari ya hindi.

Ha ha ha nimecheka sana. Ila jinsi jamaa anavyo utaka urais anaweza ahid kabisa.

Sisi.watanzania tuelewe kabisa ahad nying za Mangufuli hazitekelezeka kabisa.

Watanzania wezangu tutasema heri JK.
 
Hahaha sasa fly over sehemu ambayo haina foleni,
Umesahau daraja toka Kigongo hadi Busisi
 
huyu jamaa muongo mpaka naogopa kumsikiliza maana najiuliza kama ile amri.ya usiseme uongo kama anaijua?
 
simshangai kama ameweka traffic lights chato hata hilo linawezekana kabisa
 
Hakusema fly over acha ubazazi ..alisema daraja la juu kama la pale Musoma road, Ukawa kubalini kichapo kimewaelemea
 
Jana akiwa Mwanza viwanja vya Furahisha ameaihidi kujenga flying over.

Mimi najiuliza wana Mwanza kweli mnakubali na ahadi hizi?

Ki ukweli leo Dar es salaam hakuna cha fly over ndio kwanza juzi wamewekasaini ili kupata kura za dar zaidi ya miaka kumi toka Mkapa alipotoa matamshi then akaja JK nae alizungumzisa dar kujenga flyingover.

Msidanganyike wana Mwanza awa watu wana ahadi za kusadikika sana kama mtu umesoma kitabu cha kusadikika ndio ahadi za Magufuli.

Nayo ipo ndani ya zile 63 trillions?
 
Duuu, mwenyewe jana nmecheka sana eti anasema kuweka daraja kama la mabatin pale furahisha na kuifanya mwanza kuwa kama geniva, halafu pale chato kaweka kaweka traficright wakat hata msongamano wa magali hamna huyu kwel ni nooma
 
Hahaha sasa fly over sehemu ambayo haina foleni,
Umesahau daraja toka Kigongo hadi Busisi

Jamaa anakurupuka. CCM wamepata mahali pazuri pa kukiulia chama chao
 
Jana akiwa Mwanza viwanja vya Furahisha ameaihidi kujenga flying over.

Mimi najiuliza wana Mwanza kweli mnakubali na ahadi hizi?

Ki ukweli leo Dar es salaam hakuna cha fly over ndio kwanza juzi wamewekasaini ili kupata kura za dar zaidi ya miaka kumi toka Mkapa alipotoa matamshi then akaja JK nae alizungumzisa dar kujenga flyingover.

Msidanganyike wana Mwanza awa watu wana ahadi za kusadikika sana kama mtu umesoma kitabu cha kusadikika ndio ahadi za Magufuli.

Hivi alisema flyover ya magari au ya waenda Kwa miguu
 
Kwa pesa gani walizonazo wanaruka ruka tu pesa Zote si wamezikimbiza Uswisi bhana
 
Back
Top Bottom