Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,016
ha ha ha ha ha uwwi wale wadada wana hata CV kweli?
Nakumbuka kuna kamsamiati kaliibuka kwa wadada eti ukuu wa wilaya sasa sijui hakitatumika tena.... Kwi kwi kwiii
ha ha ha ha ha uwwi wale wadada wana hata CV kweli?
Nakumbuka kuna kamsamiati kaliibuka kwa wadada eti ukuu wa wilaya sasa sijui hakitatumika tena.... Kwi kwi kwiii
Mtu kama Mulongo Magesa CV ikaguliwe ya kwanza.
Jamani mnampa pressure Paul Makonda
Kinondoni mkuu
Ule uteuzi wa mwezi wa pili mwaka huu ulikuwa wa aina yake.
Makonda anawapelekesha sana. Endeleeni kuzubaa
Ni wewe nini mbona umeshupalia sana kutetea?
RC na DC ni watu wanaotakiwa kuwasimamia wataalam ambao wengi ni wasomi sana hivyo kuna umuhimu na wao kuwa na elimu ya kutosha haiwezekani DC awe Darasa na Saba au Form 4 amsimamie Mkurugenzi mwenye masters hapo ataibiwa na kudanganywa sana
Masters ya upishi? huyu si ndio alikua muonja chakula cha yule bitozi?Jamaa (Mulongo) ana Masters kwa taarifa yako mkuu........
RC na DC ni watu wanaotakiwa kuwasimamia wataalam ambao wengi ni wasomi sana hivyo kuna umuhimu na wao kuwa na elimu ya kutosha haiwezekani DC awe Darasa na Saba au Form 4 amsimamie Mkurugenzi mwenye masters hapo ataibiwa na kudanganywa sana
Kuna wale JK aliwateua dakika za lala salama sijui kama watapona aisee.
Jamaa (Mulongo) ana Masters kwa taarifa yako mkuu........
Kwa hiyo hakuna kuangalia ukada tena?