kkarumekenge
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 1,708
- 1,026
Ingawa kutokana na baadhi ya watanzania kukata tamaa sasa ati CCM inadai wanataka kiongozi 'mkali' mpaka Magufuli mwenyewe kujisahau na kufikia kuona hiyo ni sifa ya uongozi, tuelewe Magufuli alitakiwa kuwa mtendaji chini ya mtu mwingine.
Nawaambia, hapatakuwa na tofauti yoyote kati ya Magufuli na Mrema. Wote hawa ni wakurupukaji, hawatumii hekima na busara ambazo ndo tunu katika uongozi.
Anapungukiwa sifa kubwa sana katika uongozi, HEKIMA. Na ati sifa nyingine ya Magufuli ni tingatinga (kwa mujibu wa Kikwete), inasikitisha sana. Tusubiri...
Nawaambia, hapatakuwa na tofauti yoyote kati ya Magufuli na Mrema. Wote hawa ni wakurupukaji, hawatumii hekima na busara ambazo ndo tunu katika uongozi.
Anapungukiwa sifa kubwa sana katika uongozi, HEKIMA. Na ati sifa nyingine ya Magufuli ni tingatinga (kwa mujibu wa Kikwete), inasikitisha sana. Tusubiri...