Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.
Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.
Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.
Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?
Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.
Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.
Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.
Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?
Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.