hivi kwa akili yako ya ndege ulitegemea hivi vyote vipatikane kwa siku 30 zakuingia madarakani? Unajua kwanini muda wa urais uliwekwa miaka mitano na sio siku 30? Nyie ndio mnasali mkiomba mtu ashindwe. Akili za ndege hizo.nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
nimekusoma mkuu wewe ni Genius!!point zako zimeenda chuo kikuu..tunataka bei za vyakula vishuke na sio barabara na vitanda.usanii mtupu huu wa kutafta sifa kwenye media.Mind games hizi zinachezwa
Pole sana na njaa,
Watanzania wangapi wamekufa na njaa kijijini kwenu? vp Pesa za msaada wa TASAF Hazijawafikia? Mwanaume pambana acha kulia njaa.
Anyway back to the Topic: Mkuu mambo hayawezi kubadilika overnight! We angalia tulikotoka , unategemea kweli siku 30 za kukaa ofisini mambo yatabadilika yote kwa ghafla? Katika maisha kama huwezi kuona na kukubali jitihada za mtu mwingine basi una shida kuubwa sana. Watanzania tuache kulalamika tufanye KAZI Tusitegemee Rais atakuja kubadilisha kila kitu, yeye anaonyesha njia wengine wanafuata, angalia wajibu wako ni nini katika kusupport juhudi alizoanzisha JPM Acha kulalamika.
Naona wengi mnachangia kwa mihemko ya kisiasa, lakini nieleweke kuwa sijazungumzia habari za kwa mda huu awe amefanya hayo yote, nimezungumza kutokana na sifa anazopokea, nimehofu anaweza akavimba kichwa na kuhisi katufurahisha na kututendea haki watanzania, ikumbukwe kikwete nae alianza kwa mbwembwe mala chenji ya rada lakini mpaka sasa hivi hatujui hiyo chenji ilifanya kazi gani, mala kilimo kwanza ndio kwanza pembejeo zikapanda, mala timuatimua ya wakurugenzi na wakuu wa wilaya wazembe ndio kwanza akaleta wazembe zaid ya waliotangulia, mimi bado masisitiza na kumkumbusha magufuli kuwa bado hajaanza kazi ya kuwatumikia wananchi, bali ameanza kazi ya kukusanya fedha, ni wachache wenye kunielewa kwa sababu wengi mmejawa na mihemko
Naona hauko tayari kukosolewa!Fanya edit na wewe,
Husirudie = usirudie
Acha kukurupuka na wewe, alaaa!
Naona hauko tayari kukosolewa!
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.