Hehehe!! Mleta mada unabonyeza bonyeza hata bila kujua unaandika nini, hiyo elimu yenu ya Danganyika ni majanga.
Halafu ingekua bora sana kwa rais wenu kufanya kazi bila kuhangaika na vijembe, ameanza kudhihirisha udhaifu sana kwenye kuongea bila kutafakari, anasema lolote na chochote wakati wowote.
Nasoma jinsi mnavyomlalamikia kule kwa jukwa la siasa, hivyo kwa yeye kukurupuka kuhusu jokes za Wakenya na kuzichukulia serious kama hotuba ya taifa lenu, inabidi tumuelewe.
Naona ipo siku mtamkumbuka Kikwete kwa majonzi.