upo frustrated sana munazabwa vibao na magufuli maffisadi nyie achana na chadema bavicha na lowassa kwa raha zao wanajenga nchiLowassa kapotezwa sana na magufuli,bavicha wanaota kumtenganisha ccm na magufuli.hamuwawezi ccm itatawala milele kwa hesabu zake kali sasa ni kama hakuna upinzani kwa miaka 10 ijayo