assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
Sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. Tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tungekuwa tumeipata pamoja na fedha.
Hivyo 1992 iliamliwa kuruhusu uwekezaji katika madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa hivi kila MTU ana simu,TV vitu vidogo unavovisense mahali ulipo. Je, kusingekuwa na uwekezaji what do u think?
Magufuli nae anataka kumzuia Manji asiwekeze Coco Beach eti watu wa Mazenze wataogelea wapi? Uwekezaji huo ulikuwa haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha mazingira na yawe ya kuvutia.
Issue sio kuzuia uwekezaji bali mkataba na sheria nzuri za uwekezaji. Leo Meck Sadick nae kaogopa anamuomba Manji aache uwekezaji pale Coco Beach.
Hizi Sera za Nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
Argue,don't shout!
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
Sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. Tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tungekuwa tumeipata pamoja na fedha.
Hivyo 1992 iliamliwa kuruhusu uwekezaji katika madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa hivi kila MTU ana simu,TV vitu vidogo unavovisense mahali ulipo. Je, kusingekuwa na uwekezaji what do u think?
Magufuli nae anataka kumzuia Manji asiwekeze Coco Beach eti watu wa Mazenze wataogelea wapi? Uwekezaji huo ulikuwa haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha mazingira na yawe ya kuvutia.
Issue sio kuzuia uwekezaji bali mkataba na sheria nzuri za uwekezaji. Leo Meck Sadick nae kaogopa anamuomba Manji aache uwekezaji pale Coco Beach.
Hizi Sera za Nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
Argue,don't shout!