Magufuli atashindwa kama Nyerere

Magufuli atashindwa kama Nyerere

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

Sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. Tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tungekuwa tumeipata pamoja na fedha.

Hivyo 1992 iliamliwa kuruhusu uwekezaji katika madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa hivi kila MTU ana simu,TV vitu vidogo unavovisense mahali ulipo. Je, kusingekuwa na uwekezaji what do u think?

Magufuli nae anataka kumzuia Manji asiwekeze Coco Beach eti watu wa Mazenze wataogelea wapi? Uwekezaji huo ulikuwa haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha mazingira na yawe ya kuvutia.

Issue sio kuzuia uwekezaji bali mkataba na sheria nzuri za uwekezaji. Leo Meck Sadick nae kaogopa anamuomba Manji aache uwekezaji pale Coco Beach.

Hizi Sera za Nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

Argue,don't shout!
 
Uwekezaji wa ovyo ndio hautakiwi. Magufuli angekuwa hapendi wawekezaji asinge waita wafanya biashara kuongea nao vizur kama alivyo fanya majuzi.

Hatutaki vitu vya ovyo

kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
 
Umeamua kumfungulia uzi kila siku

Kweli umeguswa pabaya na hapa kazi tu

Pole yako

Weye mshabiki wake ila unaumia pesa za wananchi hamzipati tena.

Endelea kuwa shabiki wake
 
Mikataba iliyokuwa inaingiwa na wawekezaji na serikali mingi ilikuwa shaghala bagala. Madudu matupu

Sijafuatilia hyo ya koko beach

Lakini unaweza kuta ndo yale yale. Beach itakuwa ya watu wachache tu. Wengine wengi wakaogelee kwenye mabafu yao. Sasa hta kuogelea utatakiwa uwe tajiri

Rais magufuli hawezi kutokupenda vitu vizuri kwa watu wake
 
Mkuu suala la beach huwezi kulilinganisha na mambo ya Nyerere miaka ya nyuma, Sio kila kitu utawapa investors kwa sababu tu wanataka, sehemu nyingine utaziacha public tu, sasa ku~privatize sehemu za free kama hizo mwisho wa siku utaenda utaambiwa ulipe mshiko wa juu kuwepo tu pale sijui utajisikiaje.

Na Magufuli alichoongea kua sometimes waangalie kuboresha na sehemu za nje ya miji kidogo, it was a good move, makampuni makubwa sana yakisema yanaanzishwa out of the city maana yake sio tu ongezeko la ajira ila social services zinasambaa kwa sababu kuna pesa kule pataanza kuangaliwa, jiji linazidi kupanuka vizuri bila kuleta inconveniences zozote kwa public.

Magufuli akifeli sitomlaumu, ni kazi kubwa sana kufix whats already broken, mimi nitawalaumu watanzania kwa kua hawako supportive kabisa. Kazi ya kujenga taifa sio ya Rais, Waziri mkuu na specie chache za bungeni peke yake, ni kazi ya kila mtu.
 
Maeneo mengine tuyaache wazi Kwa kila mtu. Na hii isijali uwezo wake
 
Yote unayo yaona yakifanywa na Marais wote baada ya nyerere yasingewezekana kama nyerere angekuwa ameiacha nchi kwenye matimbwili timbwili
 
Magufuri anawapenda wawekezaji tena sana,ila amesema ni lazima wafuate sheria,na kulipa kodi kwa kaisari.na kama umemwelewa amewakaribisha wawekezaji wa kutoka nje ya nchi.
 
Magufuri anawapenda wawekezaji tena sana,ila amesema ni lazima wafuate sheria,na kulipa kodi kwa kaisari.na kama umemwelewa amewakaribisha wawekezaji wa kutoka nje ya nchi.

acha kujicontadict, kwanini azuie uwekezaji cocobeach?
 
Walewale wezi na wakwepaji kodi wakubwa wanaomba Magufuli ashindwe, Magufuli ana support ya wananchi safari hii mtaisoma Namba Manji ameambiwa beach zipo nyingi aende eneo lingine lakini cocobeach aiache kama alivyo shida iko wapi? Mmezoea kupora maeneo ya public tuachieni raisi wetu
 
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?

Manji kama muwekezaji track record yake ikoje? Na kwa nn ilete wasiwasi hadi rais aingilie hilo suala na huku akiahidi kusaodia uwekezaji wa wazalendo mahali kwingine Mfano sekta ya gesi...kuna muda dialogue inform of questions usaidia zaidi ukijijibu hayo hautakua na shida na.kuendelea na hii topic
 
Tuvumiliane tu hii kazi ya kutumbuwa majipu siyo rahisi.
 
Siioni Nyerere anahusika vipi na CoCo Beach. Sijui kuna nini Coco Beach. Pia simjui Manji ni nani.Magufuli ni Chemist and mathematician. Akikosea hesabu that is when you should start shouting.
 
Acha kupotosha uma,ujamaa wa Tanzania wa nyerere ulikuwa umekwenda mbali coz viwanda vilikuwa vingi kuliko sasa,kilimo mazao yalikuwa yanspatikana kwa wingi kuliko sasa na elimu ilikuwa safi.Hatuwezi kuruhusu MTU kuwekeza Eneo la wazi.Afate sheria acha kujipofosha macho na akili kiss Tamaa zako.Magufuli Sie tunamwelewa sana tu
 
majipu mnatapa tapa kwanini umuombee kushindwa, hujui kushindwa kwa Magufuli ni kushindwa kwa Taifa?
 
Back
Top Bottom