Elections 2015 Magufuli atashinda lakini mabadiliko hayaepukiki

ivi iyo mikutano au matashama ya bongo flv? Ili ujue kama chaguo la watu kama rais Lowasa, Mwambie afanye mkutano bila bongoflv alafu asibebe watu kwa Magar kama mfanyavyo kama mtapata mtu hata mmoja

Hawa jamaa ruksa kwa wao kubebaa watu kwenye magari
 

Attachments

  • 1443714718629.jpg
    24.1 KB · Views: 200
Atashinda kwa mafuliko haya ambayo watu wana zimia kwa kukosa hewa. Huu muda uliotumia ktk kuandika hii Topic ndefu kiasi hiki ungeutumia kutunga vitabu vya watoto kama vile vya kina Abengu na nzige.
 

Attachments

  • Mafuliko ya ccm.jpg
    25.3 KB · Views: 179
Haina ubishi Magufuli atashinda tena kwa kura nyingi, 25 October ni mwisho wa maigizo na ndio mwanza wa watu kukimbia Account zao
 
Atashinda kwa mafuliko haya ambayo watu wana zimia kwa kukosa hewa. Huu muda uliotumia ktk kuandika hii Topic ndefu kiasi hiki ungeutumia kutunga vitabu vya watoto kama vile vya kina Abengu na nzige.

Kwa kauli hz tu ni kujifurahisha nafsi yako kwa kua unapenda upinzani,ni kweli tunataka mabadiliko lakini mahali kama bado panapwaya ni lazima tuseme na tubuni mbinu mpya ya kupata ushindi,ni kweli upinzani umejaa mbwembwe za kutafuta dola,lakini ccm bado wanatumia akili sana ktk kuendelea kuitafuta dola,kukubali kukosolewa ni muhimu sana ili ujifunze,lakini kujifanya unajua kila kitu na kutoa kashifa ni kujipotezea muda
 
Mimi nitapigia ccm urais ubunge na udiwani japo siipendi ccm kabisa. Ila nataka tuwape shule wapinzani wasidharau wananchi ikiwa ccm mara hii imetuheshimu.
 
Je, hili la JPM kutokuwa fasaha kwenye English haliashilii kututia aibu kwenye meadani za kimataifa au haina neno?
 
Atii vijana wabodaboda ukiwauliza kwann mnaichukia ccm, jibu lao wametukataza kufika mjni, kwa akili hii ndo unaitaji change
 

Uandishi muflisi kabisa huu, ni bora ukienda kulima huko usirudi tena kwenye tasnia ya habari!
 
ivi iyo mikutano au matashama ya bongo flv? Ili ujue kama chaguo la watu kama rais Lowasa, Mwambie afanye mkutano bila bongoflv alafu asibebe watu kwa Magar kama mfanyavyo kama mtapata mtu hata mmoja

Lakini Buholela anaonyesha makundi mengi makubwa njiani yanayomsimamisha mgombea kutaka awazungumzie. Njiani hakuna bongo fleva. AU?
 
Pole mbwambo kwa kuzeeka vibaya kujaribu kuwaaminisha vijana wa tz ambao ndo wengi na ndo wanataka mabadiliko
Huo usaliti wa taaluma zenu utawagharimu mbele za haki
Unajifanya unazungukazunguka kurefusha makala zako kujiokotea sh.5000 za bia na zawad kwa wapenz wenu
Jiandaen kuishi uhamishon
 

Jonas Kitiga, pole zako huyo mbwa wako haingii Ikulu ya Magogoni labda aingie ya Monduli. Utaishia kubywa viroba tu kwenye bodaboda
 

Kama wewe ulivyojipotezea muda katika kunifundisha kipi napaswa kuamini sio. Hakuna anaye jua kila kitu, Labda mungu tu. Week end njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…