MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,974
Lowassa nilimkataa akiwa ndani ya CCM, ninaendelea kumkataa nje ya CCM.Jpm angekuwa chama kingine ningempiga kura yangu lakini kwa kuwa bado yuko ccm siwezi siwzi
Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania.