Magufuli atamuweza Lowassa mahakamani?

Magufuli atamuweza Lowassa mahakamani?

Mimi nauchukia umasikini, hiyo ndio kauli yake. Tembelea jimbo lake la zamani uone kama linafanana na mtu anayeuchukia umaskini.

Akasema ndani ya siku 100 za kwanza nchi itakuwa imeshausahau umasikini. Kawa mbunge kwa miaka mingi tu, lakini nyumba za nyasi zipo barabarani tu wala huhitaji kwenda mpaka kule milimani kujua umasikini upo vipi pale jimboni kwake kwa zamani.


Mkuu mleta mada Mungu ni mwema, kwani binadamu hupanga ya kwake halafu Muumba huja na mipango yenye wema zaidi kuliko ile ya kibinadamu ambayo huhusisha unafiki wakati inapoelezewa ili ikubalike mbele ya watu.
 
Kwa hiyo hayo uliyoyasema ndio yanahalalisha tulichague FISADI kuwa RAIS?Hakuna anayebisha kuwa CCM kuna Mafisadi wengi tu. Hata Rais wetu MAGUFULI huwa analisema hilo dhahiri kabisa. Kilichotusikitisha wanachama wengi wa CHADEMA ni pale chama chetu kilipogeuka dodoki la kufyonza wanaotemwa na CCM tena wanaojulikana kabisa kwa UFISADI na kuhangaika kuwatakatisha eti kwa kauli ya mwenye ushahidi ampeleke mahakamani. Mbona wao wakati wanamtuhumu hawakumpeleka mahakamani?
Mimi naona hapa ni sawa na kurusha jiwe gizani ukisikia uwiii... ujue limempata.
Katika viongozi wetu waliopo sasa nani ambae sifisadi?
Tazama huyo ambae kwasasa ni raisi wetu ambae kwasasa ana washutumu wanzake, wewe umesahau ndie yule aliyeuza nyumba nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa?
UMESAHAU YEYE NDIYE ALIUZA NYUMBA HADI KWA MAHAWALA WAKE KWA BEI YA KUTUPWA KWANGUVU YA MADARAKA ALIYOKUWA NAYO KAMA WAZIRI?
Umesahau ni yeye aliyelazimisha hata watoto wake kupewa nyumba za serikali kwa nguvu na kuwaacha wafanyakazi wakilia kwa kukosa nyumba akiwa kama waziri?
Umesahau ndiye huyuhuyu ambae amanunua meli ile ya bagamoyo kwa gharama kubwa wakati ilikua ni bomu ambalo halikuweza hata kufanya kazi nakurudishwa kwa matengenezo? Na mengine mengi.
Ninachoona hapa ni mtu kutuhumu mtu mmoja kwa sababu tu ya interest lkn si uharisia. Kwa uharisia tunaweza kusema kwa pamoja kuwa wote ni mafisadi, hivyo kila mtu anatetea fisadi wake
 
Mimi nauchukia umasikini, hiyo ndio kauli yake. Tembelea jimbo lake la zamani uone kama linafanana na mtu anayeuchukia umaskini.

Akasema ndani ya siku 100 za kwanza nchi itakuwa imeshausahau umasikini. Kawa mbunge kwa miaka mingi tu, lakini nyumba za nyasi zipo barabarani tu wala huhitaji kwenda mpaka kule milimani kujua umasikini upo vipi pale jimboni kwake kwa zamani.


Mkuu mleta mada Mungu ni mwema, kwani binadamu hupanga ya kwake halafu Muumba huja na mipango yenye wema zaidi kuliko ile ya kibinadamu ambayo huhusisha unafiki wakati inapoelezewa ili ikubalike mbele ya watu.
Sasa kama ni hivyo basi mshutumu hata nyerere aliyekua raisi miaka zaidi ya 20 lkn fika kwao butiama utaona umasikini wa kutupwa, sembuse huyu aliyekuwa mbunge na uwaziri tu ndo unashangaa? Acheni unafiki.
 
Tatizo letu watanzania tunawewesuka tu bila kuangalia ni kipi iliongelewa kipindi cha nyuma na waliokua wanaliongelea ndo walewale walio vaa ngozi ya kondoo kumbe fisi pia wamevaa m
Miwani mieusi. Nashangaa enzi za kikwete hoo kikwete anaruhusu ufisadi , uwizi leo hii magufuli akibana mara Magufuli ashauliki; watanzania wenzangu tuwe wabunifu wa akili.
 
Mimi naona hapa ni sawa na kurusha jiwe gizani ukisikia uwiii... ujue limempata.
Katika viongozi wetu waliopo sasa nani ambae sifisadi?
Tazama huyo ambae kwasasa ni raisi wetu ambae kwasasa ana washutumu wanzake, wewe umesahau ndie yule aliyeuza nyumba nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa?
UMESAHAU YEYE NDIYE ALIUZA NYUMBA HADI KWA MAHAWALA WAKE KWA BEI YA KUTUPWA KWANGUVU YA MADARAKA ALIYOKUWA NAYO KAMA WAZIRI?
Umesahau ni yeye aliyelazimisha hata watoto wake kupewa nyumba za serikali kwa nguvu na kuwaacha wafanyakazi wakilia kwa kukosa nyumba akiwa kama waziri?
Umesahau ndiye huyuhuyu ambae amanunua meli ile ya bagamoyo kwa gharama kubwa wakati ilikua ni bomu ambalo halikuweza hata kufanya kazi nakurudishwa kwa matengenezo? Na mengine mengi.
Ninachoona hapa ni mtu kutuhumu mtu mmoja kwa sababu tu ya interest lkn si uharisia. Kwa uharisia tunaweza kusema kwa pamoja kuwa wote ni mafisadi, hivyo kila mtu anatetea fisadi wake

Sasa naona umeanza kuelewa. CHADEMA ile orijino haikuwa na mafisadi.
Enzi zile za Dr Slaa CHADEMA ilikuwa vizuri kabisa na ilijulikana kwa misingi iliyokuwa ikiisimamia.
Leo CCM wameiteka hoja ya UFISADI na Dr MAGUFULI kaivalia njuga kisawasawa. CHADEMA imepoteza dira eti leo inadai mwenye ushahidi wa ufisadi wa Lowasa apeleke mahakamani. Hivi yale mabilioni aliyokuwa anahonga mashehe na maaskofu kwa pesa ambazo akiulizwa anakozitoa anadai alifundishwa na askofu eti "...KUKAA KIMYA NDIO HEKIMA" na kuna mijitu humu ndani inasifia ukimya wake - USHENZI MTUPU!!!
 
Sasa kama ni hivyo basi mshutumu hata nyerere aliyekua raisi miaka zaidi ya 20 lkn fika kwao butiama utaona umasikini wa kutupwa, sembuse huyu aliyekuwa mbunge na uwaziri tu ndo unashangaa? Acheni unafiki.
Nyerere hakujigamba hadharani kama huyo niliyemuongelea. Hakusema kuwa ndani ya siku 100 umasikini utabakia kuwa historia. Unapoutetea utajiri hadharani, uwe na mfano hai wa maisha ya sehemu inayokuhusu.
 
Nyerere hakujigamba hadharani kama huyo niliyemuongelea. Hakusema kuwa ndani ya siku 100 umasikini utabakia kuwa historia. Unapoutetea utajiri hadharani, uwe na mfano hai wa maisha ya sehemu inayokuhusu.
Mchawi mpe mtoto alee, hilo hatukulifanya hivyo hatuna haki ya kushutumu au yakudhani. Cha muhimu ni kuendelea kuangalia jinsi tunavyo tekeleza ahadi zilizotolewa na mchawi tuliyempa mtoto.
 
Back
Top Bottom